Clouds Media Group walia na ugumu wa biashara, Kusaga adai wanaweza kufunga hali ikiendelea hivi

Katika maamuzi ya kijinga kabisa ninayo sikitika kuyashuhudia katika nchi hii Ni hayo! Ilihitajika busara zaidi ikizingatiwa wala siyo threat kwa usalama wa taifa.
 
nani kakuambia unadhani ni bahati mbaya wanachofanya?walishaingilia ENGLISH MEDIUM SCHOOLS sasa hivi kuna misako hadi na mitutu,wanaua kila kitu....jamaa mmmoja anavuruga nchi nzima na watu wanashangilia
Hii inasikitisha, mamlaka liliangalie upya suala hili, wasione aibu kushindwa ikiwa ni kwa manufaa ya wengi.
 
Naona mambo yamekuwa kinyume

Tulisema tukasemwa, sasa ni zamu ya waliokuwa wakitusema kusema wao.

Huu wimbo hauhitaji hasira!

Baada ya hawa waliokuwa wakisifu kuanza kuguswa na hali mbaya ya kiuchumi, serikali ndio itaanza kulalamika kwamba nchi haina fedha.

Tukishanywea wote serikali itaanza kuhaha maana watu wanafunga mabiashara, wawekezaji wanatoroka na wengine kuondoka waziwazi, watu wanapunguzwa kazini na wahisani wanakata mirija

Huu wimbo tulianza kuimba wakatukebehi na vitisho juu.
Zamu ya vibendera na vichumia tumbo ndio imefika ya wao kuimba,,,,,zamu inayokuja ni ya serikali kuweka wazi kwamba mambo yameenda kombo

Ushamba ni mzigo sana hasa ushamba unapochanganyikana na jeuri na ulimbukeni

Bado kitambo kidogo kila mtu ataimba kwa ufasaha
Kila mtu ataguswa kwa wakati wake,
 
Labda wa Dar es Salaam. Tembelea mikoa mingine ya Tanzania uone kama uchumi wao unawaruhusu kushinda online na hayo ma bundle unayosema.
Average ya nchi... TZ ni ya 4 kwa matumizi ya internet Africa.... Kama ni vijijini ama Dar sina uhakika..
Millard Ayo ndio kinara wa Habari "contents" kwa google na most paid by youtube making dola 500K to 900K a year.... Clouds out
CNN BBC nk wote wamehamia social media kwa nguvu...... TZ tunahubiri siasa na hali ngumu
Simu zinawekwa best camera ziwe broadcasting tools.... liko shirika linatumia simu kwa live coverage ... Kila mtu anaweza kuwa na shirika lake la utangazaji kwa sasa... na kila mtu anaweza kupata habari haraka kwa simu
Tuamkeni siasa zinauwa intelligence yetu
 
Hii media ya wanafiki na kwenye list ya konki ikifungwa nitakunywa wine bariiiiidiiiiiiii na sato mkubwa WA kuchemsha !!!! Mungu wezesha hili
 
wanatambuaje idadi ya viewers kwenye television? sina utalaam wowote kwa haya mambo, nielimishwe.
Kuondolewa tu kwenye mfumo wa chanel zinazorushwa bure kwa mtu ambaye huna utaalamu wa mitambo inakujulisha kuwa watazamaji wanapungua, na ukitazama tabia na hali ya watanzania unagundua kuwa zaidi ya asilimia 50 watazamaji wamepungua.
 
mimi nilikua natazamaga taarifa ya habari ya Azam Tv lakini ni mwezi karibia wa 6 hakuna taharifa ya habari tunapiga cm huduma kwa wateja hakuna lamaana wanalotupa, local chanel hakuna bei ya vifurushi kubwa mimi nilidhani bakhresa na mijihela yake angemalizana na TCRA ili wateja wake Aidhuru tupate huduma ya local chanel hakuna kitu. nimebaki kuangalia ligi kuutu na tamthilia ya Sultan
 
Ipo siku yataisha ngoja kwanza kila mtu aguswe ndipo tutaungana vizuri
 
Bosi wa Clouds Media amesema tangu kutokea changamoto ya local channels kuondolewa kwenye ving'amuzi vyombo vya habari hivo vimeathirika kwa kiwango kikubwa na hapo wanapenda kutoa ajira kwa vijana lakini wanakoelekea watakwama na kupunguza wafanyakazi.

Kusaga" wakati kupo kwenye ving'amuzi vyote zuku, startimes, Azam na DStv mfano makampuni Kama Vodacom, Tigo na Airtel walikuwa wanaona views milioni 1 wanakulipa fungu zuri kutokana na idadi kubwa ya watazamaji, lakini kwa sasa views wameshuka Hadi laki moja kwaiyo makampuni hayo yamekata bajeti zao na kukulipa kuligana na idadi ya watazamaji na huwezi kuwalaumu hata Kama wanakupenda lakini wanakulipa unachostahili Sasa kwa Hali hii wafanyakazi Hawa vijana wanafamilia tutawalipa vipi?

Maana yake hatuwezi kufika inabidi tuwapunguze japo tunawapenda". Kuna haha la kuniangalia upya suala hili.

Kusaga ameongeza hata wasanii wameathirika hawapati tena show nje kwakuwa hawaonekani Tena Kama zamani

View attachment 957913
Jiwe na Tanzania yake ya kusadikika, ya njozi.
 
Eti tuangalie TBC!!!! TV inayomsifia aliyejiita kichaaa!!! Over my dead body!!! Na kweli ni kichaa!
 
Back
Top Bottom