Wakuu Kuna mwanamke nimekutana naye nikasema nijaribu kuomba namba nilivyomuomba no akanambia naujua tu unataka uni tongoze halafu akanipa no.
Hivi wakuu huyu dada alaikum ana maanisha Nini kusema hiv af akanipa no?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.