Mwafrikamtanzania
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 1,060
- 1,339
Ni joke tu.Fafanua mkuu
Ni joke tu.Fafanua mkuu
Tutashangazana paka la bar wewe😁Ngoja nitafute starting point nikiwa na hy I'd mpya then ntakushangaza 😂
Subir 😎Tutashangazana paka la bar wewe😁
Ni makosa ya modes kwenye kuniandikia mwaka wa kujisajili huku
Vipi lakini afya yako Bado tuna countdown au ushapata tiba?
Au kwa vile kapaka na wanja
Mungu akusaidie mkuu Mimi nimejiunga Leo ili kumtetea mama SSH kwa wale wanaotaka aende mahakamaniUmejiunga lini kwani?
Afya yangu sio mbaya sana, naumwa lakini siumwi
Tiba nitaanza baada ya kupata majibu kwa mara ya pili
Asante sana mkuuMungu akusaidie mkuu
Vipi una kadi ya uanachama wa CCM katika kumuunga mkono Mama kwa maendeleo ya nchi anayoyafanya na kuwaunganisha pamoja vijana?
Alie kuelekeza njia ndo kakuelekeza uku kiongoziKwa majina naitwa Msukuma mzaliwa wa Chato jirani kabisa na kwa hayati JPM pia ni mwanachama hai wa CHAMA CHA MAPINDUZI chini ya Mwenyekiti wetu Pendwa na raisi kipenzi cha Watanzania mama Samia Suluhu Hassan....Naomba mnipokee🙏
Wewe kweli ni MsukumaNi makosa ya modes kwenye kuniandikia mwaka wa kujisajili huku
Vipi lakini afya yako Bado tuna countdown au ushapata tiba?
Mkuu una taarifa kuwa tunaongeza wanachama wapya kujiunga na chama chetu Bora na chenye viongozi wenye weredi mpana na maono dhabiti ya kimaendeleo kwa JAMII?? Basi nakuomba tembelea tawi lolote la chama cha mapinduzi lililopo karibu na wewe ili ujiungeWewe kweli ni Msukuma
Msukuma unatupigia kelele na huo mwandiko wako wa kuboldMkuu tupo katika mchakato wa kuongeza wanachama wapya katika chama chetu Bora cha mapinduzi kipenzi cha wananchi na vijana je upo tayari kupata kadi yako?
Mungu akusaidie mkuu Mimi nimejiunga Leo ili kumtetea mama SSH kwa wale wanaotaka aende mahakamani
Vipi una kadi ya uanachama wa CCM katika kumuunga mkono Mama kwa maendeleo ya nchi anayoyafanya na kuwaunganisha pamoja vijana?
Mkuu kwani upo tayari Tundu tumnyonge kwa kutokumheshimu mama na mamlaka yake ambayo hata kwenye vitabu vya dini vinasema?? Ebu chukua kadi yako ya uanachama kwanzaMsukuma unatupigia kelele na huo mwandiko wako wa kubold
Wasukuma tupo wengi humu na id zipo nyingi na nyingine hazitumiki mkuu, chama changu kinanipa posho za kutosha na kinatoa fulsa nyingi sana kwa vijana kiuchumi🙏nitawatembelea huko siku moja niwape elimu ya fulsa za mama yetu kipenzi alizozitoa kwa vijana ili muondoke kwenye huo uraibu wa kubetiMzee baba kwenye uzi wa kubet ulikuwa haukosekani miaka ya nyuma
kwani nani ambae ha countdown? Leo upo karibu zaidi na siku yako ya kuzikwa kuliko ilivyokua janaNi makosa ya modes kwenye kuniandikia mwaka wa kujisajili huku
Vipi lakini afya yako Bado tuna countdown au ushapata tiba?