Actually me ni Muoga kwenye mishe za Wadada, especially mke wa mtu. I don't know what Happened, Bt i think shetan wa Humu Jf anataka kuniharibia maisha [emoji1787][emoji1787].
Iko hv, Hv karibun kuna mpangaji flan amekuja na mke wake, kimwonekano jamaa yuko Age haf mke mdogo, Hasa since day one...