Recent content by uncle..m

  1. uncle..m

    Agh it sucks wakuu

    Inaelekea mna mapepo wachafu[emoji23][emoji23]
  2. uncle..m

    Namtafuta mume mwenye sifa hizo

    Kila posti sijafikia vigezo duuuh
  3. uncle..m

    Ngorongoro crater.... (domestic tourism)

    vizuri umetalii umejifunza vitu vingine pia umepunguza stress
  4. uncle..m

    Tupia picha za Mademu wakali wa vyuo vikuu

    Nimepakumbuka sana Unit 1
  5. uncle..m

    Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

    asante sana kwa ushauri
  6. uncle..m

    Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

    hahahhaah hiyo lugha ya malkia haijanipita sana, ila nikinywa naweza poteana kabisa.
  7. uncle..m

    Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

    Huo ni mtazamo wako, kunywa au kutokunywa pombe hakuleti taswira halisi ya mtu akiwa mzee.
  8. uncle..m

    Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

    Kila kitu kwa kiasi [emoji23] [emoji23]
  9. uncle..m

    Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

    Wanywa pombe nawaheshimu, maana kila mtu na starehe yake.
  10. uncle..m

    Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

    Watu kama wewe wameshanipa ushauri sana wa kupiga vyombo ila msimamo ni hapana vinywaji laini vinatosha
  11. uncle..m

    Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

    Sijawahi kunywa bia hivyo sijui lolote kwenye hili, nimesoma nabaki nacheka tu
  12. uncle..m

    Tibaijuka: Ukiona watu wanahangaika na mavazi ya mwanamke ujue wana matatizo yao

    Tena mzigo ukiwa kwenye dera yaan unanipa hamasa kweli ya kujua kilichomo ndani[emoji23][emoji23][emoji23]
  13. uncle..m

    Ujenzi wa viwanja vya ndege sasa kusimamiwa na TANROADS

    barabara zenyewe wiki moja tu zina madimbwi hivyo viwanja si vitakuwa na mabwawa
  14. uncle..m

    Nimempa shemeji yangu Mimba

    Ndio maana mvua hazinyeshi
Back
Top Bottom