Halafu na huyo wa Kateshi naw kaondoka na ujauzito sijui itakuwa.
Ila ni mawazo yangu tu mkuu yasikusumbue hakuna anayefaa kuwa mkeo hapo tafuta namna ya kulea mtoto mkuu achana nao hao.
Kuliko kumsikiliza Gwajima au Lusekelo kama ajiitavyo mzee wa Upako ni aheri nikasikiliza miziki ya Bob na Luck dube hapo nitapata kitu cha maana kuliko mafundisho ya hao jamaa.
Lakina mkumbuke kuna kale kamsemo kanasema "Mwanaume bila mchepuko ni sawa na Taifa bila chama cha upinzani,na Mwanamke kuwa na mchepuko ni sawa na Taifa lenye kikundi cha uasi."
Japo sijui kama ni kweli,ila wadada muwe wabunifu katika ndoa zenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.