Recent content by una buku hapo

  1. U

    Mshahara wa mwezi wa nane kitendawili

    Na mwezi huu Bado inabidi kuzoea sio Kila siku ukichelewa kidogo watu wanalalamika
  2. U

    Nmekuwa na huu URAIBU kwa Miaka zaidi ya 30 sasa naelekea kuacha baada ya kukutanishwa na Wataalam

    Ni mda ulikuwa haujafika wa ww kubadilika shukuru Mungu hapo sasa kama hujaoa weka mke ndani hakunaga cheti Cha umalaya Wala muhongaji bora
  3. U

    Festish yangu ni wadada walio ma askari/polisi, wewe fetish yako ni ipi?

    Nashukuru Mungu kwa huyu niliyempata hao wengine hata wakae uchi nshatoka huko
  4. U

    Ni rapa gani alikufanya uanze kusikiliza mziki wa HIP-HOP?

    Naipenda sana nyimbo ya 2pac dear mama
  5. U

    Baada ya hili tukio jana, nimeacha pombe mazima

    Amua tu kuacha wengine tunaendelea km kawa
  6. U

    Kauli hii ya Pastor Tony Kapola inachochea ukatili dhidi ya wanawake walioko kwenye ndoa! Wanawake msifuate ushauri huu

    Mbona anaongelea jinsi wazazi wanavyochangia ndoa za mabinti zao kuharibika
  7. U

    Mawaziri watano wa Rais Samia wanuka utajiri wa kutisha, waogelea mabilioni ya shilingi

    Mpaka mtu aandike ana ushahidi kama hajawataja itakuwa na yeye ni wale wale tu
  8. U

    Wachezaji na wasanii toka DRC rudini nyumbani mkaikomboe nchi yenu

    Kina fally ipupa na Koffi Olomide si wapo congo watangulie wao kwanza
  9. U

    Mwenyekiti Mbowe, CHADEMA kuna biashara gani?

    Na hawezi achia hiyo nafasi Chadema ni Chaga Development Manifesto Kuna ukabila wa kudumu
  10. U

    Hivi kwanini kila soksi ninazonunua zinaisha hivi hata miezi 3 haifiki?

    Nilikuwa nikivaa soksi lazima zitoboke kidoleni kumbe unatakiwa uache kinafasi zisibane sana wanawake wanajua
  11. U

    Angalia George Weah baada ya kutoka kwenye kiti cha Urais jinsi anavyoishi maisha ya kawaida

    Aliyekuambia hayo ni maisha ya kawaida nani hamna kitu ni km ww uende kijijini mwisho wa mwaka
Back
Top Bottom