kiss ov love
JF-Expert Member
- Jan 21, 2025
- 9,363
- 16,092
Sasa si umeshajibiwa na huyo muhudumu
Nikumbushe ulisemaje tena bwasheeFafanua Mkuu, Hii inahusianaje sasa na nilichosema mimi
HamnaSasa Mimi kula miwa alfu nikaagiza Kinywaji kuna ubaya.
Nini kimetokea?
Sasa mbona sababu umeelezwa alafu bado unatafuta majibu mengine? Au ndo hukutosheka?Habari za Wakati huu Wazee
Nimeshitushwa sana na kushagazwa kiasi almanusura tu nizimie kwa mshituko huo. Nimekuja hapa sehemu moja karibu na ninapokaa nikataka niagize kinywaji huku nasikiliza kamziki kidg kidg.
Nilikuwa nimenunua miwa ya kutafuna nikaweka mezani nitafune alfu baadae ninywe maji. Si manager wa Bar kaja haraka haraka kunambia ondoka ondoka usiniletee Balaa.
Niakuliza kwa nia ya kujua kwanini ninaondolewa hivyo, Ndio huyudada mhudumu wa hii Bar akaniambia hairuhusiwi kula muwa Bar huleta ugomvi mkali sana hata watu kuuana.
Nimeshangaa sana 😳😳😅😅😅. Hebu niambieni wataalam kuhusu hii ishu.
Wamekuonea sana nipe location kesho niende na dumu la mtindi mbichiHabari za Wakati huu Wazee
Nimeshitushwa sana na kushagazwa kiasi almanusura tu nizimie kwa mshituko huo. Nimekuja hapa sehemu moja karibu na ninapokaa nikataka niagize kinywaji huku nasikiliza kamziki kidg kidg.
Nilikuwa nimenunua miwa ya kutafuna nikaweka mezani nitafune alfu baadae ninywe maji. Si manager wa Bar kaja haraka haraka kunambia ondoka ondoka usiniletee Balaa.
Niakuliza kwa nia ya kujua kwanini ninaondolewa hivyo, Ndio huyudada mhudumu wa hii Bar akaniambia hairuhusiwi kula muwa Bar huleta ugomvi mkali sana hata watu kuuana.
Nimeshangaa sana 😳😳😅😅😅. Hebu niambieni wataalam kuhusu hii ishu.
Bar gani wanauza miwa? Au na wewe Nunua pombe uende kwa wauza miwa ukae hapo uagize miwa uanze kunywa na pombe uone watakwambiaje.Ni Bar ya Mjini kabisa. Ni hapa Maeneo ya Sinza tajiri yangu.
Huyu alinukuliwa sehemu akisema ukila muwa Bar mkundu unawasha na kuwaza kutafuta mtu wa kukukuna, labda aje kukataa leo hii ila aliyasema haya mwenyewe huku naye akijikuna hiyo sehemu kuashiria anawashwa na yeye.
DaahHuyu alinukuliwa sehemu akisema ukila muwa Bar mkundu unawasha na kuwaza kutafuta mtu wa kukukuna, labda aje kukataa leo hii ila aliyasema haya mwenyewe huku naye akijikuna hiyo sehemu kuashiria anawashwa na yeye.
Kichwa cha Uzi kinasema au kinauliza: Ukila mua Bar nini kinatokea ?? Kilichotokea si umejionea mwenyewe na umetaja? "Nimeshitushwa sana na kushagazwa kiasi almanusura tu uzimie kwa mshituko huo". Halafu tena meneja wa bar kaja kakufukuza. Hilo ndo litatokea.Habari za Wakati huu Wazee
Nimeshitushwa sana na kushagazwa kiasi almanusura tu nizimie kwa mshituko huo. Nimekuja hapa sehemu moja karibu na ninapokaa nikataka niagize kinywaji huku nasikiliza kamziki kidg kidg.
Nilikuwa nimenunua miwa ya kutafuna nikaweka mezani nitafune alfu baadae ninywe maji. Si manager wa Bar kaja haraka haraka kunambia ondoka ondoka usiniletee Balaa.
Niakuliza kwa nia ya kujua kwanini ninaondolewa hivyo, Ndio huyudada mhudumu wa hii Bar akaniambia hairuhusiwi kula muwa Bar huleta ugomvi mkali sana hata watu kuuana.
Nimeshangaa sana 😳😳😅😅😅. Hebu niambieni wataalam kuhusu hii ishu.