Nami natafuta wa kubadilishana naye yeye aje Lindi manispaa, mimi nataka anaye tokea pwani au dar ingia pm kwa kuelekezana zaidi shule ni nzuri sana sema familia yangu iko dar
Ndugu yangu ambaye hayajamkuta akisoma huu uzi wako anaweza kusema unatania, lakini kwa kipindi hiki ni shida ndani ya nyumba, mimi mwenyewe nina binti yangu ana miaka miwili na nusu salaam yake ya kwanza kila akiniona ni peopleees na anamalizia power cha ajabu ndani kwangu tunakaa watu watano...
Kwani kwa Tanzania chama cha upinzani maana yake nini? Maana ACT huwa sielewi ni wapinzani wa nani? Mara watuseme ccm mara Ukawa amueni moja tuunge mkono tujue mko nasi au acha tujue hamko pamoja nasi!
Swali la kujiuliza anapata stahiki za Mawaziri wakuu wastafu? Je hizo stahiki kama anapata nani anampa?kama hapewi kwanini? Je serikali inamtambuaje? Ukijibu maswali hayo kwa ufasaha utapata majibu na akili mokichwa
Tatizo la viongozi tulionao huwa hawapatikani kwa uwezo wao bali ni kwa kuzawadiana,na ndo maana tumefika hapa tulipo! Kiongozi mwenye miiko ya uongozi hawezi kufanya au kusema kama tuonayo na kusikia
Mimi nasema Ccm,kushinda ilikuwa na nafasi bado ,sema kwa sasa viongozi tulio nao nakuwa siwaelewi,sijui hawajasoma upepo kuwa watz kwasasa hawahitaji ngonjera,Sasa kama Katibu Mkuu anaweza kusimama na kuita walioshindwa kupata nafasi kuwa ni makapi! Kwa maana kwamba...
Mimi naomba sana viongozi wangu wa Ccm msiwe na mioyo migumu,jaribuni kuona ni jinsi gani tutakabiliana na changamoto hii maana siyo ya kubeza,lolote laweza tokea maana mawazo yetu siyo mawazo yao.
kimsingi kabla ya mchakato wa katiba,nilikuwa nikimpa heshima sitta kwa 45% kama mpambanaji na mzalendo,lakini baada ya kushiriki ufisadi wa kuihujumu katiba,ambayo ndo msingi mkuu wa kuegemea kupinga ufisadi,sioni wapi anaweza kusimama na kujinasibu,heli fisadi anayechukua hela kuliko fisadi...
Ndugu zangu kwa kuwa sisi watanzania huwa ni watu wa kusaidiana kwa hali tofautitofauti kulingana na uhitaji wetu, nami naomba msaada wenu kwa anayejua.
1. Ni zao gani la miezi mitatu linalimwa huku uliko.
2. Linaghalimu shilingi ngapi kwa ekari moja kuanzia kulima shamba hadi kuvuna
3. Ekari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.