Habari wakuu nna ndugu yangu anatafta mtoto toka kuolewa ni mwaka wa 3 ila hajashika ujauzito kashapima vipimo vyote ila ikifika kwenye homoni anakutwa zinapishana, afanye nn ili kurudisha katika hali ya kawaida ili aweze kushika mimba na je, hatoweza kushika mimba tena ikiwa hazitakaa sawa ...
Mi naamin hakuna mwanaume hata mmoja anaezidi ukatili kama firauni hapa duniani (sioni sababu ya kuwachukia )jipange omba toba, amin mungu anasikia na kuona ,naamin ipo siku utampata mwenza bora katika maisha yako, all the best dada
Habari natumai ni wazima natafuta rafiki wakubadilishana mawazo, ningependelea kuongelea vitu vya maendeleo. Aliye tyr Ani pm,jinsia yngu ni mwanamke, kwa walioko dar itakua vzr, jion njema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.