My friend colonialism is still there in Africa but in more modern state,Afrika haikuwahi kupata Uhuru iwe kiuchumi,kisiasa,au kijamii.Tuko kwenye uchumi wa kikoloni ambao sifa yake kuu ni Afrika kuwa na uchumi tegemezi.Wazungu kilichopekekea kuitawala Africa ni kupata sehemu ya kukidhi mahitaji...
Mimi hii riwaya naiamini kabisa na naona inatoka jikoni huyu BT kwa nini watu wake wote wamerudi kwa system? Tena kwenye vitengo mhimu ona akina marope wasivyogusika pamoja na malalamiko ya watu
Aliyapuuza wapi wakati na shule zilifungwa, akawa anawatahadharisha wananchi kutotumia barakoa za misaada isipokuwa kila mtu ashone ya kwake na kufuata taratibu zote za kujikinga na korona semeni ukweli msimsingizie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.