Inawezekana sana Tena sana Huku kwetu , ukijichanganya kwa wazee, utashangaaa Kila mda unabanwa na haja ndogo.
Unaweza kudhani umepatwa na kisikari ghafura kumbe wazee wanakutuma.
Usijibu kwa sababu hutokua na majibu.
Hiyo msoga ilimaliza zama zake na Yale yalio stahiki kufanyia yalifanyika kwa uwazi ikiwemo mawaziri 2 kuhukumiwa kwenda jera.
Ilipo wadia Chato kushika hatamu , yakaundwa makundi kinyume na Sheria yakushughulikia watu na kuwaumiza kisiasa ,kiuchumi ,na...
Mfanyabiashara ambaye haagizi, lakini kasajiliwa VAT anauziwa jumla bila kupewa risiti.
Swali kwanini hapewi risiti?
Je hiyo tabia imekua kanuni kwa kwa wauzaji wote wa jumla?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.