Hivi mlishajiuliza unakuta mtumishi wa umma analipwa mshahara mkubwa lakini anaachia nafasi hiyo na anaenda kutumia mamilioni ya pesa ili tu awe mbunge ndani ya miaka mitano na haba uhakika wa kurudi? Mfano Kadogosa wa TRC aliacha kule pesa nyingi na kwenda huko bungeni!
Ni kwa sababu, kazi ya...
Wanawake wanasema condom zinawawasha yale mafuta. Kwakweli kama ukipata demu hebu hata mpime kwa sababu ukienda nae goli la kwanza atakubali kwa condom lakini goli la pili atakataa condom na ataichomoa na kama mzuka umepanda utapiga peku halafu kesho yake utaamka na mawazo debe!
Kama ulikuwa na muda mrefu haujafanya mazoezi basi anza taratibu mfano dakika 30 kwa siku huku ukianza kwa kutembea kwa kasi hivi halafu siku nying jogging.
Ukianza kwa spidi ni hatari unaweza hata moyo ukasimama kwa jinsi unavyoelezea.
Yote kwa yote. Nenda kwa daktari ukapime hasa afya ya...
Kagame huwa ni mjanja sana. Miaka fulanj ya nyuma Rwanda ilikuwa inatajwa sana kwa sifa nzuri nzuri katika majukwaa ya kimataifa mfanp ukuaji wa uchumi.
Sasa kumbe Kagame alikuwa ananunua hizo sifa. Kuna jamaa wa serikali alipoasi akakimbia nchi nimemsahau akaanza kuvujisha kuwa Rwanda ilikuwa...
Si huwa mnasema kwamba mstaafu akianza kuchomoa betri ujue amenyimwa fursa yeye au kizazi chake. Sasa huyu huwa ana mjukuu wake ni afisa wa polisi alisikika sana kwenye kesi ya Mbowe. Chunguzeni labda mzee anataka mjukuu wake apewe fursa mfano RPC lakini system inagoma
Mh! Kwahiyo vijana wa zamani mfano wa middle school walijua past tense kwa kuzaliwa au kwa kufundishwa na walimu wazuri?
Je, akili ni kujua maarifa unayofundishwa mfano lugha kama ulivyotolea mfano au ni uwezo wa ku-argue?
Ishu ya kushindwa kujua past tense kwa Gen Z wahitimu ni matokeo ya...
Nasikia Benito Mussolini dikteta wa Italy wa miaka hiyo aliwanunua wachezaji kadhaa kutoka America Kusini ili wawasaidie kushinda kombe la dunia waliloandaa mwaka 1934. Wachezaji nao huwa sijui wanaona sifa kuwa karibu na viongozi mana kama ishu ni pesa wanakuwa nazo!
Kwakweli Iran miaka mingi meli zinapita bure pale Hormuzi na hizo nyaya! Feee navigation ni kwenye maji ya kimataifa huko na siyo hapo Hormuz pafinyu sana
Hivi hamjagundua polisi mmoja akataka kuzua taharuki halafu huyu mwingine akawa anawatuliza? Tukubali tukatae polisi wanahitaji hekima katika mazingira kama hayo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.