Recent content by Umkonto

  1. U

    JamiiForums Tanzania Jinsi laana ya kushiriki Uapisho wa Samia inavyomtafuna Hichilema

    Hichelema aliongea habari ya demokrasia, mara huko Zambia tulizungumza na kuelewana. Sasa ngoja tuone uchaguzi huu ameondoka kwenye tabia za Kiafrika au na yeye ni wale wale!
  2. U

    JamiiForums Tanzania Ile ilikuwa VAR au Azam Tv?!

    Naomba kufahamu, je, hii inakuwa FVS inakuwa imeruhusiwa na CAF na FIFA au huwa hakuna kipingamizi cha aina ya teknolojia ya kutumia katika mpira?
  3. U

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    Kuna mmoja juzi kati sijui FB au humu alileta nyuzi akapendekeza vijana wa kiume wajitahidi kuji-attach kwenye familia za Kitajiri kama alivyofanya Isaya ili watoke kimaisha. Sasa na wewe leo umekuja na lingine. Mbona mnatuchanganya!
  4. U

    JamiiForums Tanzania Nje ya Sanaa ya muziki, Civilian-Coin pia ni fundi ujenzi.

    Video ukiwa site unajenga tafadhali!
  5. U

    JamiiForums Tanzania Ofisa wa CIA apendekeza Marekani ishirikiane na Al Qaeda na ISIS kuiangusha Iran

    Ukweli ni kwamba, dunia imejaa fujo na kiongozi wa fujo hizo ni Marekani
  6. U

    JamiiForums Tanzania Kiungo wa zamani wa Yanga Tonnombe Mukoko atapeliwa nyumba na mwanamke wa kibongo

    Kwani Mukoko ni Mtanzania? Raia wa kigeni anaruhusiwa kumiliki ardhi Tanzania? Je, ingewezekana hati kuandikwa jina la Mukoko? Maana yake Mukoko alitakiwa avijue hivi vitu vya umiliki wa ardhi kabla hajaanza kutuma pesa za ujenzi!
  7. U

    JamiiForums Tanzania Polisi adaiwa kumkodi Bodaboda na kukataa kumlipa baada ya kumzungusha kwa saa 1

    Unajua hali ya hewa inapoanza kutulia, mara paap watumishi wa serikali mfano polisi wanachafua hali ya hewa. Juzi kati wametetewa wale waliomwaga mazao, leo huyu naye atatetewaje? Binafsi nashauri, watumishi wa serikali wasome alama za nyakati, wajiepushe na matendo mabaya kwa raia ili...
  8. U

    JamiiForums Tanzania Huu ni upendeleo au mbona ngao ya jamii msimu huu ni mechi moja?

    Shida ya bongo ni ubabaishaji
  9. U

    JamiiForums Tanzania DUDUBAYA a.k.a Mambaz 24 anapendwa kwa kuwa ni mkweli!!

    Dudu alisema amewaambia waandaaji haendi Mwanza, sasa sijui wamembembeleza maana wanaona wakimuacha atawaponda au Dudu mwenyewe kawaomba. Ngoja tuone huko Mwanza ataharibu au vipi mana Dudu hatabiriki kabisa
  10. U

    JamiiForums Tanzania KERO Air Tanzania imeondoka na abiria wengine, wametuzuia watano, tunaambiwa kuna 'Technical Problem', hii ni sawa?

    Hahaha! Unanikumbusha mambo ya zamani ya kwenye treni na mabasi, makondakta wanapambanisha tiketi, yaani siti moja inakatiwa hata kwa abiria watatu halafu mnakuja kugombana ndani ya safari. Sasa itakuwa kwenye ndege haiwezekani abiria kusimama, ingekuwa inawezekana wangekuwa wanawasondeka kwa...
  11. U

    JamiiForums Tanzania Mbona naona kama TRUMP amewapa michongo mingi ndugu jamaa na marafiki kwenye USA?

    Ndio tabia ya ubebari uliokithiri ambao hutawaliwa na ubinafsi bila kuangalia wengine watasemaje
  12. U

    JamiiForums Tanzania Mwanahalisi: Nchimbi agoma kujiuzulu

    Hii mivurugani itakuwa ni matokeo ya damu ya Oktoba 29. Tusipotubu, hakika tutaendelea kuona mivurugano mpaka tutakapotubu kama taifa mana damu ni nzito kuliko maji!
  13. U

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Sawa kafanya kosa. Je, sababu ya polisi kumwaga chakula ni ipi?
  14. U

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Ikitokea kwa bahati mbaya hajafajamu, basi anakamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi mpaka mwenge upite halafu anapelekwa kituoni na mizigo yake anafanyiwa uchunguzi kama hakuwa na dhamira ya uhalifu basi anaonywa na kuachiwa na siyo kumwaga chakula kwenye mtaro. Haya, hebu tupe logic ya polisi...
  15. U

    JamiiForums Tanzania Wajumbe 11 wa Congress watua Dar, wafanya majadiliano muhimu na waandamizi

    Nani aliyempa mwaliko mwenzake?
Back
Top Bottom