Hichelema aliongea habari ya demokrasia, mara huko Zambia tulizungumza na kuelewana. Sasa ngoja tuone uchaguzi huu ameondoka kwenye tabia za Kiafrika au na yeye ni wale wale!
Kuna mmoja juzi kati sijui FB au humu alileta nyuzi akapendekeza vijana wa kiume wajitahidi kuji-attach kwenye familia za Kitajiri kama alivyofanya Isaya ili watoke kimaisha. Sasa na wewe leo umekuja na lingine. Mbona mnatuchanganya!
Kwani Mukoko ni Mtanzania? Raia wa kigeni anaruhusiwa kumiliki ardhi Tanzania? Je, ingewezekana hati kuandikwa jina la Mukoko? Maana yake Mukoko alitakiwa avijue hivi vitu vya umiliki wa ardhi kabla hajaanza kutuma pesa za ujenzi!
Unajua hali ya hewa inapoanza kutulia, mara paap watumishi wa serikali mfano polisi wanachafua hali ya hewa. Juzi kati wametetewa wale waliomwaga mazao, leo huyu naye atatetewaje?
Binafsi nashauri, watumishi wa serikali wasome alama za nyakati, wajiepushe na matendo mabaya kwa raia ili...
Dudu alisema amewaambia waandaaji haendi Mwanza, sasa sijui wamembembeleza maana wanaona wakimuacha atawaponda au Dudu mwenyewe kawaomba. Ngoja tuone huko Mwanza ataharibu au vipi mana Dudu hatabiriki kabisa
Hahaha! Unanikumbusha mambo ya zamani ya kwenye treni na mabasi, makondakta wanapambanisha tiketi, yaani siti moja inakatiwa hata kwa abiria watatu halafu mnakuja kugombana ndani ya safari.
Sasa itakuwa kwenye ndege haiwezekani abiria kusimama, ingekuwa inawezekana wangekuwa wanawasondeka kwa...
Hii mivurugani itakuwa ni matokeo ya damu ya Oktoba 29. Tusipotubu, hakika tutaendelea kuona mivurugano mpaka tutakapotubu kama taifa mana damu ni nzito kuliko maji!
Ikitokea kwa bahati mbaya hajafajamu, basi anakamatwa na kuwekwa chini ya ulinzi mpaka mwenge upite halafu anapelekwa kituoni na mizigo yake anafanyiwa uchunguzi kama hakuwa na dhamira ya uhalifu basi anaonywa na kuachiwa na siyo kumwaga chakula kwenye mtaro. Haya, hebu tupe logic ya polisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.