Kwanza kama mambo yatakuwa hivi binafsi katika uchaguzi ujao ntaenda kulifuta jina langu kwenye daftari la wapiga kura mpaka hapo hali itakapokuwa nzuri ndio ntajiandikisha tena mana unaweza usiende kupiga kura lakini jina lako likapigishwa kura!
Historia inasema, baada ya mabomu ya nyuklia kuangamiza Hiroshima na Nagasaki mwaka 1945, viongozi wa Marekani walijutia sana kitendo kile na kuapa kutotumia tena silaha za nyuklia popote duniani.
Baada ya hapo ndipo Marekani akawa mstari wa mbele kudhibiti utengenezaji wa silaha za nyuklia kwa...
Huyo ni mtoto wa mfalme wa Iran aliyepinduliwa na kina Ayatollah kupitia mapinduzi mwaka 1979 hivyo hawezi kuishi Iran chini ya kina Ayatollah!
Sema anajidanganya kufanya harakati zake akiamini utawala wa Iran ukiangushwa atapewa yey. Marekani wenyewe huwa hawana adui wa kudumu bali wanajali...
Kwakweli kama CCM wataendelea kushikilia bomba tusipate katiba mpya ya maoni ya wananchi na tume huru ya uchaguzi kabla 2030 basi sikio litakuwa lilishakufa na kuoza kabisa
Hii ishu ya Papa naifananisha na Fr Kitima kwa Tanzania.
Kwahiyo tukubaliane Kanisa Katoliki wao husimamia ukweli pindi haki za watu zinapokiukwa.
Sasa kulikuwa na movement ya waamini fulani kutaka kwenda kwa Papa kumshtaki Fr Kitima kujihusisha na siasa Tanzania. Maana yake wangefanikiwa...
Unajua tukiendelea kuficha tatizo wakati lipo hatutafika. Ukweli ni kwamba, hauwezi kufanya maridhiano Tanzania bila kuihusisha CCM na CHADEMA. Watanzania wengi wapo CCM kimaslahi lakini Watanzania wanaotaka mabadiliko wapo CHADEMA.
Maridhiano ni muhimu sana baada ya zile vurugu za Oktoba 29.
Mjumbe wa Jumuiya ya madola-Chakwera yupo nchini kutafuta maridhiano. Isije kutokea upande wowote ukakwamisha maridhino kwa tamaa ya madaraka. Pia, isije kutokea Lisu akabezwa kukubali maridhiano.
Hii ni kwa sababu huu mkwamo...
Si vibaya kwa mwanamke kushirikishwa katika fursa mbalimbali lakini hata mimi siamini mwanamke kuwa kiongozi hata mkuu wa idara kwa sababu ni watata sana. Ukim-challenge kidogo tayari anaona kwa sababu yeye ni mwanamke, hapo tayari bifu na usiposhuka chini hakika ana-dili na wewe hata kama hauna...
Mpaka JF kufungiwa kutokana na mapicha yale niliwaza wahusika wa Jf walihusika moja kwa moja kwa sababu walipewa muda kufuta yale mapicha lakini hawakufuta. Yale mapicha yalikuwa tayari kwenye social media nyingine, tulishayaona huko. Yaliletwa JF kwa kuchelewa kama mtego na kisingizio cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.