Recent content by Umkonto

  1. U

    JamiiForums Tanzania Waganga wa Kinyeji Simiyu Tumechoka na michango ya Mwenge.

    Uchangishaji wa pesa ya mwenge ni upigaji kwa sababu bajeti yake huwa ipo michango hutolewa risiti ya mkono na siyo EFD.
  2. U

    JamiiForums Tanzania Nampongeza sana UMMY MWALIMU kwa ukimya wake mpaka kuja kuteuliwa tena

    Hivi mlishajiuliza unakuta mtumishi wa umma analipwa mshahara mkubwa lakini anaachia nafasi hiyo na anaenda kutumia mamilioni ya pesa ili tu awe mbunge ndani ya miaka mitano na haba uhakika wa kurudi? Mfano Kadogosa wa TRC aliacha kule pesa nyingi na kwenda huko bungeni! Ni kwa sababu, kazi ya...
  3. U

    JamiiForums Tanzania Wanawake hawajilindi na UKIMWI kama ilivyo kwa Wanaume

    Wanawake wanasema condom zinawawasha yale mafuta. Kwakweli kama ukipata demu hebu hata mpime kwa sababu ukienda nae goli la kwanza atakubali kwa condom lakini goli la pili atakataa condom na ataichomoa na kama mzuka umepanda utapiga peku halafu kesho yake utaamka na mawazo debe!
  4. U

    JamiiForums Tanzania Ni kawaida mwili kuchoka, kuhisi homa na mafua baada ya kuanza mazoezi ya kukimbia?

    Kama ulikuwa na muda mrefu haujafanya mazoezi basi anza taratibu mfano dakika 30 kwa siku huku ukianza kwa kutembea kwa kasi hivi halafu siku nying jogging. Ukianza kwa spidi ni hatari unaweza hata moyo ukasimama kwa jinsi unavyoelezea. Yote kwa yote. Nenda kwa daktari ukapime hasa afya ya...
  5. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mchungaji Msigwa: Najutia kwenda CCM, bora ningefanya maamuzi tofauti

    Alitakiwa apumzike siasa kama alivyofanya Dk Silaa!
  6. U

    JamiiForums Tanzania HOJA Kutoka Urusi: Madhaifu ya Chuo kinachotaka kumpa Samia PhD inauzwa kwa 100,000$ kukuza propaganda

    Kagame huwa ni mjanja sana. Miaka fulanj ya nyuma Rwanda ilikuwa inatajwa sana kwa sifa nzuri nzuri katika majukwaa ya kimataifa mfanp ukuaji wa uchumi. Sasa kumbe Kagame alikuwa ananunua hizo sifa. Kuna jamaa wa serikali alipoasi akakimbia nchi nimemsahau akaanza kuvujisha kuwa Rwanda ilikuwa...
  7. U

    JamiiForums Tanzania IGP Mahita: Said Mwema alipewa u-IGP kwa figisu

    Si huwa mnasema kwamba mstaafu akianza kuchomoa betri ujue amenyimwa fursa yeye au kizazi chake. Sasa huyu huwa ana mjukuu wake ni afisa wa polisi alisikika sana kwenye kesi ya Mbowe. Chunguzeni labda mzee anataka mjukuu wake apewe fursa mfano RPC lakini system inagoma
  8. U

    JamiiForums Tanzania Hizi mbinu za Kuficha Bunduki, zinaisaidia CCM au zinaiangamiza? Nani yupo nyumba ya huu mchezo?

    Hahahaha! Binafsi nimecheka kwa sababu ni cheap propaganda za kitoto
  9. U

    JamiiForums Tanzania Kwa nini hiki kizazi cha Gen Z wana Iq ndogo?

    Mh! Kwahiyo vijana wa zamani mfano wa middle school walijua past tense kwa kuzaliwa au kwa kufundishwa na walimu wazuri? Je, akili ni kujua maarifa unayofundishwa mfano lugha kama ulivyotolea mfano au ni uwezo wa ku-argue? Ishu ya kushindwa kujua past tense kwa Gen Z wahitimu ni matokeo ya...
  10. U

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Ado Shaibu: Jeshi Kuna kitu kimoja wakilinde kwa nguvu zote, kitu hiko ndio roho ya thamani yao Jeshi lijitenge na Siasa

    Mbona makofi machache aliposema jeshi lijitenge na siasa?
  11. U

    JamiiForums Tanzania Rio asilaumiwe sana kuja Tanzania kwa mgongo wa serikali

    Nasikia Benito Mussolini dikteta wa Italy wa miaka hiyo aliwanunua wachezaji kadhaa kutoka America Kusini ili wawasaidie kushinda kombe la dunia waliloandaa mwaka 1934. Wachezaji nao huwa sijui wanaona sifa kuwa karibu na viongozi mana kama ishu ni pesa wanakuwa nazo!
  12. U

    JamiiForums Tanzania Silaha itakayotumika na Iran awamu hii ni kukata nyaya za Internet zilizopita chini ya bahari…

    Kwakweli Iran miaka mingi meli zinapita bure pale Hormuzi na hizo nyaya! Feee navigation ni kwenye maji ya kimataifa huko na siyo hapo Hormuz pafinyu sana
  13. U

    JamiiForums Tanzania Watu wanaanza kuzoea risasi. Tunakokwenda siyo kuzuri. Watawala kuweni wasikivu. Wasikilize wananchi ambao ndio waajiri wenu

    Hivi hamjagundua polisi mmoja akataka kuzua taharuki halafu huyu mwingine akawa anawatuliza? Tukubali tukatae polisi wanahitaji hekima katika mazingira kama hayo!
Back
Top Bottom