Recent content by Umkonto

  1. U

    BAADA YA RIPOTI YA CHANDE, UPO UWEZEKANO WA CHADEMA KUFUTWA.

    Kwanza kama mambo yatakuwa hivi binafsi katika uchaguzi ujao ntaenda kulifuta jina langu kwenye daftari la wapiga kura mpaka hapo hali itakapokuwa nzuri ndio ntajiandikisha tena mana unaweza usiende kupiga kura lakini jina lako likapigishwa kura!
  2. U

    Donald Trump baada ya kuona Iran hawawezekani akataka kutumia silaha za nyukilia

    Historia inasema, baada ya mabomu ya nyuklia kuangamiza Hiroshima na Nagasaki mwaka 1945, viongozi wa Marekani walijutia sana kitendo kile na kuapa kutotumia tena silaha za nyuklia popote duniani. Baada ya hapo ndipo Marekani akawa mstari wa mbele kudhibiti utengenezaji wa silaha za nyuklia kwa...
  3. U

    Mwana mfalme wa Iran aliye uhamishoni, Reza Pahlavi, amwagiwa majimaji mekundu mjini Berlin

    Huyo ni mtoto wa mfalme wa Iran aliyepinduliwa na kina Ayatollah kupitia mapinduzi mwaka 1979 hivyo hawezi kuishi Iran chini ya kina Ayatollah! Sema anajidanganya kufanya harakati zake akiamini utawala wa Iran ukiangushwa atapewa yey. Marekani wenyewe huwa hawana adui wa kudumu bali wanajali...
  4. U

    Jaji Chande: Katiba Mpya ipatikane hadi ifikapo 2028. Uchaguzi wa 2030 tuwe na Katiba Mpya

    Kwakweli kama CCM wataendelea kushikilia bomba tusipate katiba mpya ya maoni ya wananchi na tume huru ya uchaguzi kabla 2030 basi sikio litakuwa lilishakufa na kuoza kabisa
  5. U

    Msimamo wa Papa wa Kanisa Katoliki umeonyesha unafiki wa wazi wa Uislamu na Waislamu kwa ujumla duniani

    Hii ishu ya Papa naifananisha na Fr Kitima kwa Tanzania. Kwahiyo tukubaliane Kanisa Katoliki wao husimamia ukweli pindi haki za watu zinapokiukwa. Sasa kulikuwa na movement ya waamini fulani kutaka kwenda kwa Papa kumshtaki Fr Kitima kujihusisha na siasa Tanzania. Maana yake wangefanikiwa...
  6. U

    Sasa ni muda muafaka wa maridhiano Tanzania

    Unajua tukiendelea kuficha tatizo wakati lipo hatutafika. Ukweli ni kwamba, hauwezi kufanya maridhiano Tanzania bila kuihusisha CCM na CHADEMA. Watanzania wengi wapo CCM kimaslahi lakini Watanzania wanaotaka mabadiliko wapo CHADEMA.
  7. U

    Sasa ni muda muafaka wa maridhiano Tanzania

    Maridhiano ni muhimu sana baada ya zile vurugu za Oktoba 29. Mjumbe wa Jumuiya ya madola-Chakwera yupo nchini kutafuta maridhiano. Isije kutokea upande wowote ukakwamisha maridhino kwa tamaa ya madaraka. Pia, isije kutokea Lisu akabezwa kukubali maridhiano. Hii ni kwa sababu huu mkwamo...
  8. U

    Rais Donald Trump amesema kuwa Marekani inaweza kuanza kutoza ada (toll) kwa meli zinazopita katika Strait of Hormuz baada ya vita

    Inawezekana Trump huwa anaitamani sana nchi ya Iran kuliko nchi yoyote pale Mashariki ya Kati!
  9. U

    Ninachoamini ni kwamba itachukua miaka mingi sana kwa Tanzania kuja tena kutawaliwa na Mwanamke

    Si vibaya kwa mwanamke kushirikishwa katika fursa mbalimbali lakini hata mimi siamini mwanamke kuwa kiongozi hata mkuu wa idara kwa sababu ni watata sana. Ukim-challenge kidogo tayari anaona kwa sababu yeye ni mwanamke, hapo tayari bifu na usiposhuka chini hakika ana-dili na wewe hata kama hauna...
  10. U

    Shuhudieni Mambo Makubwa Mazuri ya Bonge wa Zimbabwe, Wicknell Chivayo! Je, Hapa Kwetu Alifanya Nini?

    Mpaka JF kufungiwa kutokana na mapicha yale niliwaza wahusika wa Jf walihusika moja kwa moja kwa sababu walipewa muda kufuta yale mapicha lakini hawakufuta. Yale mapicha yalikuwa tayari kwenye social media nyingine, tulishayaona huko. Yaliletwa JF kwa kuchelewa kama mtego na kisingizio cha...
  11. U

    Kufungiwa JamiiForums: Mahakama Kuu yayatupilia mbali mapingamizi ya Jamhuri. Kesi rasmi kuendelea

    Naomba kuuliza? Siku 90 zimepita mbona App ya JF bado imefungiwa?
Back
Top Bottom