Recent content by Umkonto

  1. U

    Ni upuuzi kuongea mambo ya ofisini kwenu maeneo ambayo hayahusiki na kazi

    Watanzania tunapenda majungu na kujadili watu, hizi ni akili ndogo
  2. U

    Tujifunze kuambizana. Hata kama kwa uchungu

    Kwa sasa ujanja wa kijana ni kunywa pombe, ukiwa haunywi unaonekana mshamba.
  3. U

    Ni wakati wa Musonda kuondoka Yanga

    Yanga isitarajie kufanya cha ajabu kimataifa kama itakuwa na washambuliaji Musonda na Mzize.
  4. U

    Tanzania haina Polisi wala waandishi wa habari

    Mwishoni mwandishi wa habari wa gazeti la mwananchi aliandika, sijui alikuwa anatania au anamaanisha; "Kuku ameacha mayai manne" Hapo alikuwa amechukua ule utaratibu wa kusema mfano, "Marehemu ameacha mke mmoja, na watoto watano, wajukuu 10"
  5. U

    Unyanyasaji kwenye ubalozi wa Marekani

    Tuambie, simu na waleti uliacha wapi?
  6. U

    Netanyahu- Israel itajifanya maamuzi yenyewe jinsi ya kulipa kisasi

    Je, kwa nini Netanyahu anaendelea kuwaza kuhusu kulipa kisasi kwa Iran ikiwa Israel iliua makanda wa Iran, lakini wao Israel kama ambavyo wanaripoti kuwa wameyadungua makombora ya Iran 99% na hayakuleta madhara makubwa ndani ya Israel zaidi ya yule binti mmoja kujeruhiwa? Hasira za Netanyahu...
  7. U

    Twende mbele, turudi nyuma: Nchi za wenzetu zilizoendelea wanapiga kazi

    Ehee! Naomba kuuliza hao Wazungu huwa wanatumia kilevi chochote ili kuupa mwili na akili uwezo wa kufanya kazi muda mrefu? Mana watu tunao uzoefu wa kufanya kazi saa 20 kwa siku ili kichwa na moyo vinakuwa vinauma na siku ukipata upenyo wa kulala, unalala kama umekufa. Je, hao watu wanatumia...
  8. U

    Makombola yanatumia saa manane angani halafu unategemea kumlipua Muisrael

    Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili. Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati! Sababu ya kuzua vita vikubwa ghafla ghafla ili iweje? Iran...
  9. U

    Irani na Israeli wana Undugu usioyumba, Makombora 300 ya Irani naona kama ni Propaganda

    Pointi ndiyo ipo hapo. Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili. Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati, na sababu ya kuzua vita vikubwa ili...
  10. U

    Naanza kujawa na mashaka. Yawezekana haya mambo ya Iran/Israel ni michongo tu, tunachezewa akili na wakubwa

    Mimi naona inatakiwa iwe Dini ya Kiislamu, dhehebu la Shia au Suni! Sidhani kama ni sahihi kusema dini ya Shia au Suni!
  11. U

    Kuna ukwel gan kwenye hii mishahara ya wachezaji?

    Kwa uchumi wa Tanzania inawezekana kabisa huo mshahara na hizo hela ni nyingi sana kwa hali ya uchumi wa vilabu vyetu. Kwani hao wachezaji wa kigeni si wanakuwa wamepewa nyumba, usafiri, na hela ya usajili nje ya huo mshahara? Sasa waende wapi kama timu za Ulaya hazijajitokeza kuwasajili ...
  12. U

    Iran yaonya kufanya shambulizi baya zaidi ikiwa Israel italipiza kisasi

    Je, umefika muda sasa Marekani kufanya mazungumzo na Iran ili utulivu urejee hapo Mashariki ya Kati mana inaonekana Marekani alishachelewa kumdhibiti Iran kwa kutumia nguvu kama alivyomdhibiti Sadam wa Iraq. NB. Huu uzi usiunganishwe mana ni habari mpya hii! Habari Kamili; Iran imerejelea...
  13. U

    Biden amwambia Netanyahu kuwa hatomuunga mkono kulipiza kisasi dhidi ya Iran

    Nachojua, Marekani huwa hakurupuki! Aliishaichunguza Iran na akagundua Iran ina silaha nzito na huwa siyo wanyonge, hivyo lazima ajitahidi kuizuia Israel isianzishe vita na Iran kwa sababu hali ya Mashariki ya kati itakuwa mbaya sana na uchumi wa dunia utaathirika pia.
  14. U

    Iran yaishambulia Israel kwa makombora

    Nimeamini Iran akiahid anafanya.
Back
Top Bottom