Mwishoni mwandishi wa habari wa gazeti la mwananchi aliandika, sijui alikuwa anatania au anamaanisha;
"Kuku ameacha mayai manne"
Hapo alikuwa amechukua ule utaratibu wa kusema mfano, "Marehemu ameacha mke mmoja, na watoto watano, wajukuu 10"
Je, kwa nini Netanyahu anaendelea kuwaza kuhusu kulipa kisasi kwa Iran ikiwa Israel iliua makanda wa Iran, lakini wao Israel kama ambavyo wanaripoti kuwa wameyadungua makombora ya Iran 99% na hayakuleta madhara makubwa ndani ya Israel zaidi ya yule binti mmoja kujeruhiwa?
Hasira za Netanyahu...
Ehee! Naomba kuuliza hao Wazungu huwa wanatumia kilevi chochote ili kuupa mwili na akili uwezo wa kufanya kazi muda mrefu?
Mana watu tunao uzoefu wa kufanya kazi saa 20 kwa siku ili kichwa na moyo vinakuwa vinauma na siku ukipata upenyo wa kulala, unalala kama umekufa.
Je, hao watu wanatumia...
Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili.
Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati! Sababu ya kuzua vita vikubwa ghafla ghafla ili iweje?
Iran...
Pointi ndiyo ipo hapo. Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili.
Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati, na sababu ya kuzua vita vikubwa ili...
Kwa uchumi wa Tanzania inawezekana kabisa huo mshahara na hizo hela ni nyingi sana kwa hali ya uchumi wa vilabu vyetu.
Kwani hao wachezaji wa kigeni si wanakuwa wamepewa nyumba, usafiri, na hela ya usajili nje ya huo mshahara? Sasa waende wapi kama timu za Ulaya hazijajitokeza kuwasajili ...
Je, umefika muda sasa Marekani kufanya mazungumzo na Iran ili utulivu urejee hapo Mashariki ya Kati mana inaonekana Marekani alishachelewa kumdhibiti Iran kwa kutumia nguvu kama alivyomdhibiti Sadam wa Iraq.
NB. Huu uzi usiunganishwe mana ni habari mpya hii!
Habari Kamili;
Iran imerejelea...
Nachojua, Marekani huwa hakurupuki! Aliishaichunguza Iran na akagundua Iran ina silaha nzito na huwa siyo wanyonge, hivyo lazima ajitahidi kuizuia Israel isianzishe vita na Iran kwa sababu hali ya Mashariki ya kati itakuwa mbaya sana na uchumi wa dunia utaathirika pia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.