Recent content by umate umate

  1. umate umate

    Umeipenda barabara ipi hapa?

    Duh! Bongo hata moja hatuna!
  2. umate umate

    Mrejesho: Uso kwa uso na shemeji gesti

    We kiboko sijapata kuona!
  3. umate umate

    Mambo ya beach pwani (Members Only)

    Mate yananitoka....
  4. umate umate

    Jana sikutoka ndani nilihofia mtikisko wa nchi

    Watanzania wenzangu nawasihi sana leo muwe makini sana, wekeni vitu vyenu kwa uangalifu, wanafunzi wa bweni mnaopenda kulala vitanda vya juu nawasihi leo mbanane tu na wenzenu hapo chini, kina mama wekeni vyombo vya udongo kwa uangalifu ili visivunjike, leo kutakuwa na MTIKISIKO mkubwa sana hapa...
  5. umate umate

    Mengi atoa dakika 15 kwenye taarifa ya habari ITV kuelezea Kujiuzulu kwa Muhongo

    Kama hajaiba amejiuzulu nn si angebaki madarakani
  6. umate umate

    Nauza haraka samsung galax 3 orginal bei poa

    Hiyo njia huwezi tambua maana hata za mchina zinakubali. Ukitaka kutambua kama ni original we piga *#0011# itakuja Service mode Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
  7. umate umate

    Mke wa Mtu Sumu, Mume wa Mtu Maziwa?

    Mimi napita tu ngoja wahusika wanakuja
  8. umate umate

    Fridge 90W vs radio 250W kifaa gani kinakula umeme zaidi

    Sasa visipokula umeme unataka vile mchemsho? Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
  9. umate umate

    Ubeberu wa Marekani balaa duniani

    W666 ipo tayari imeshaanza. Tuombe kwa bidii, 666 ni alama ya mnyama unabii mwishoe umetimizwa. Imeandikwa na Jonathan Annobil tar 10. 08 .2014 .Baraza la senate la marekani imepitisha bili ya Obama ya afya kwenye sheria. Utekelezaji utaanza hivi punde karibuni. Bili hii itahitaji wamarekani...
  10. umate umate

    Picha ya siku

    Hahahahhahahah
Back
Top Bottom