Recent content by Ulopo

  1. Ulopo

    Je, matumizi ya mafuta kwenye Toyota Crown Athlete yapoje?

    Nimerudi hapa 2021 vp umeshanunua na kama umenunua tunaomba marejesho.
  2. Ulopo

    Sugu apigwa marufuku kujiita Rais wa Mbeya

    Ulianza vizuri umekuja kuharibu mwisho na starehe zetu jifunze kujiheshimu
  3. Ulopo

    Fundi Majiko ya Gasi Tanzania

    Ni fundi bingwa Majiko ya Gass Kwa tatizo lolote tupigie +255715673024 huduma ni popote ulipo Kwa Dar es salaam na Dodoma fundi atakufata hadi lilipo jiko lako whatsap online muda wote uliza swali utajibiwa. Pia natoa ushauri Kwa mtungi wako wa gass kuweka juu ya ubao na si chini kama...
  4. Ulopo

    Jiko la gesi kuwaka moto

    Daah post ilinipita hii namba ya fundi nah I ya gass ni 0715673024 Siku nyingine usihangaike
  5. Ulopo

    Unafurahia nini na maisha yako katika historia ya kuvuta bangi(all about weed)

    The great jay, Daah me nakula sana mjani na muda wangu ni usiku nikishamaliza shughuli zangu za mchana kutwa nikishakulla mjani huwa napenda kumsikiliza wiz Khalifa tu pia kitu kinachofurahisha huwa nakuwa na uwezo wa kuchanganua jambo nje ndani..
  6. Ulopo

    Dodoma: Serikali kuanzisha kiwanda cha mafuta ya bangi

    Hahahah hahaha leta leta tuinyweeeee
  7. Ulopo

    Unafurahia au unaipenda kazi unayofanya ?

    naifurahia kazi yangu mimi ni fundi majiko ya Gass lakini kikubwa unatakiwa kutambua Kila kazi una changamoto zake ukishajua hivyo haiwezi kukusumbua
  8. Ulopo

    Naomba kujua utaratibu wa kuoa hadi Ndoa, Asanteni

    sawa kiraza Wadau wanakuja nao ni vilaza wenzio
  9. Ulopo

    Uzi wakutaja kitu chochote ambacho uliwahi kuona na sio cha kawaida katika maisha yako

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]vipi mkojo haukutoka..!??
  10. Ulopo

    Uzi wakutaja kitu chochote ambacho uliwahi kuona na sio cha kawaida katika maisha yako

    queen embu njoo tuyajenge unaonekana mambo unayajua
Back
Top Bottom