Buza Kwa Mpalange
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 268
- 156
Mikumi kuja Kilombero
Bukoba Mjini
HahahahahaMchawi tu wewe huna lolote.
Ilo eneo angepatikana mtu mmoja tu au wawili wakuweka noah hapo 500 wangepiga sana helaKuna sehemu hapa nchini kuna bodaboda nyingi mno either kwasababu ya ubovu wa barabara hivyo magari hayawezi kufika baadhi ya maeneo au kwasababu ya uhaba wa usafiri wa umma.
Moja ya hayo maeneo ni Kibaha, Kwa Mathias. Wakazi wa maeneo hayo wanatumia zaidi bodaboda kwasababu hamna usafiri wa umma kutoka stand kuelekea maeneo ya mbali na hapo kama Msangani, Efatha nk
Maeneo gani mengine hapa nchini kuna bodaboda nyingi sana?
Wenyewe wanaziita "sekido". Kwa nchi hii huko ndiko boda boda zilianzia, wakiiga kutoka Kampala (Uganda).Bukoba Mjini
Swali kwa Wenyeji Wa Songea, Kwanini Bodaboda Wanaziita YEBO.Mkuu sasahv yan ndo wamezidi kufupisha wanaita YEBO tu , yan unaambiwa wakianza kufukuzia gari za abiria toka Dar au mkoa mwingine, kuanzia stend ya msamala had stend kuu utafikiri kuna maandamano vile!
Sent using Jamii Forums mobile app
Aaah mkuu acha kudanganya bana, boda boda zinaanzaje kuzidi idadi ya watu? Inamaanisha kuna nyingine zinajiendesha ZenyeweKuna mkoa huku nilipo bodaboda zimezidi idadi ya watu.
hilo jina bado linatumika mkuu😂wanaita yeboyebo.. sijui wamebadirika ilo jina
😂😂😂😂 aisee Songea raha sana..hilo jina bado linatumika mkuu😂
sanaa.Siku ya kwanza kusikia hilo jina nilishangaa lakini baada ya muda nami nikawa mzoefu.Niliishia kwa kipindi cha miezi 5 tu lakini nilienjoy sana,😂😂😂😂 aisee Songea raha sana..
Nakubaliana na wewe, huo mji una bodaboda nyingi sana Sijui nifananishe na wapiNjoo masasi mtwara uone..huku mkulima wa korosho akipata hela anaenda nunua boda boda hata 10..huku karibia vijana wote mtaani ni boda boda...utadhani hakuna kazi zingine za kufanya.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Bukoba mjini bodaboda kwanza wana bei nafuu sana. Nilishangaa nafika usiku saa sita natozwa 2,000 tu kutoka stendi mpaka Kivulini. Kitaa nako wale 'vilaza' waliokuwa wasumbufu darasani wote wanaendesha bodaboda na fursa kibao zipo hazina watu.Bukoba Mjini
Mwaka 2005 naanza kujitambua nilizikuta ila nilipoenda Mwanza sikuwa naziona. Kipindi wanaziita Sekido hata neno bodaboda sidhani kama lilikuwepo kipindi kile. Kulikuwa na hasa pikipiki za Senke. Mojawapo ya sehemu ambayo bodaboda wana very strong political influence nadhani pia walianza mapema kuwa na muungano.Bukoba kwanza walianzia zamani,walichukua utaratibu wa bodaboda kutoka Uganda kipindi ambacho ukubongo bado azijakuwa rasmi.ila nchi kama Uganda tayari zilikuwa ni usafiri rasmi.
Aaah mkuu acha kudanganya bana, boda boda zinaanzaje kuzidi idadi ya watu? Inamaanisha kuna nyingine zinajiendesha Zenyewe
RuvumaKuna sehemu hapa nchini kuna bodaboda nyingi mno either kwasababu ya ubovu wa barabara hivyo magari hayawezi kufika baadhi ya maeneo au kwasababu ya uhaba wa usafiri wa umma.
Moja ya hayo maeneo ni Kibaha, Kwa Mathias. Wakazi wa maeneo hayo wanatumia zaidi bodaboda kwasababu hamna usafiri wa umma kutoka stand kuelekea maeneo ya mbali na hapo kama Msangani, Efatha nk
Maeneo gani mengine hapa nchini kuna bodaboda nyingi sana?