Recent content by Ulongupanjala

  1. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Itungwe sheria kila sebule ya nyumba iwe na picha ya Rais

    Panueni magereza baad ya hiyo sheria kupita. "Magaidi na wahaini" watakuwa wengi sana.
  2. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Kutoka kuwa fundi simu hadi kuwa winga na kumiliki duka la simu nikiwa mwanafunzi wa miaka 20, hadi kufilisika na kutafutwa na Polisi

    Watu wachache sana wenye uwezo wa kufanya kazi/biashara wakiwa chuo. Wengi hudhani chuo ni sehemu ya mapenzi na kula boom tu.
  3. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Mfanyie haya mtoto wako wa kiume Baada Aje Akushukuru atakapojitambua

    Hata awe na dushe kama punda ni useless kwa dunia ya leo. Kikubwa mwambie mtoto wako wa kiume kuwa hakuna mtu duniani wa kumuonea mwanaume huruma. Akaze haswa kabla hajakazwa na walimwengu.
  4. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Ushuru kwenye magari, Serikali inapaswa kuangalia upya

    Tutembelea ungo hizo gari waendeshe wao inatosha.!!
  5. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watangazaji wa TV na Radio nchini Tanzania hawataki kucheza nyimbo za CIVILIAN-COIN au kwa kuwa Hana Pesa za Promotion? Je, nyimbo za mamtoni?

    Kazi nzuri sana.. Pitieni kwenye hizo platforms muone kipaji cha 5G.. Au mmezoea kusikiliza nyimbo za wabana pua na chawa's??
  6. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Nini maana ya 'Mtoto wa mama'?

    Aliyedukuliwa mfumo...ndio mtoto wa mama.
  7. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Natafta mganga wa kuagua wa ukweli.

    Nipe Kijiji niende nipo hapa Kwiro Mahenge
  8. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Natafta mganga wa kuagua wa ukweli.

    Wapogoro na Wangindo wa kule siku hizi ni waongo na wezi hakuna dawa zaidi ya utapeli. Ampeleke mtoto hospitali kupata tiba stahiki.
  9. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Sehemu ya kusoma ufundi Simu na Computers

    Habari za leo? Kwa miaka zaidi ya 13 nimekuwa memba ndani ya JF nimeona na kupata msaada mkubwa wa mawazo toka kwa memba wenzangu asanteni sana. Kuna kijana wangu wa kiume amemaliza kidato cha nne miaka kadhaa nyuma na hakufanya vizuri katika hayo masomo yake. Sasa anahitaji kupata chuo au...
  10. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Watumishi wastaafu, hasa walimu, kurandaranda kwenye mabaa na kuombeleza pombe ni picha mbaya sana

    Usionee huruma hao watu.. wale na kunywa walikopeleka akili na utashi wao wakiwa kazini.
  11. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Mnaochanganya Kiswahili na Kiingereza kwenye mazungumzo mnakuwa na lengo gani?

    Kiswahili na Kiingereza zote ni lugha rasmi ndani ya Tanganyika (official languages) mtu anapoamua kuchanganya siono kosa wala ujuaji wake. Ni sawa na kula wali na maharage vyote ni vyakula na vyote vinaingia tumboni na kutoka kwenye "anus" Tusome na tupeleke shule watoto tusione kuongea...
  12. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini kimenuka maandamano ya kupinga waafrika wengine nchini humo

    Wangese sana hao watu
  13. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Polisi wanasumbua sana wageni hotelini

    Ndwasubiria siku wakinigongea natoka uchi na dushe limesimama. Atakayekuwa mbele yangu ni halali yangu.
  14. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Wanaume kusuka nywele, kutoboa pua na kujichubua sio ushoga

    Wacha wapakuliwe ndio furaha Yao. Dunia hii ni ngumu sana kuwa sawa. Wanaume wengi sana wanawashwa nyuma ndio hao upinde.
  15. Ulongupanjala

    JamiiForums Tanzania Tuliolima mpunga sasa gunia ni Tsh. 130,000/= halafu kijana unashadadia maandamano

    Ukilima wewe na wenzako inatosha.
Back
Top Bottom