Polisi wanasumbua sana wageni hotelini

Polisi wanasumbua sana wageni hotelini

Jeep wrangler

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2024
Posts
1,773
Reaction score
3,300
Tangu waziri wa Mambo ya ndani atangaze kuwa kutakuwa na ukaguzi, polisi wanazunguka mahotelini usiku wa manane na kugonga milango kwa nguvu kama umevamiwa na majambazi.

Kwa wageni hii ni aibu, fikiria mtu umechoka, saa 8 huu usiku unagongewa mlango kwa nguvu kama vile ni mhalifu.

Nchi hii viongozi wenye akili wako wapi?
 
Upo na makahaba yako hutaki kukaguliwa? Si ninyi hamkutoka kwenye maandamano ya Oct 29 au sio nyinyi mkae kimya hivyo hivyo
 
Tangu waziri wa Mambo ya ndani atangaze kuwa kutakuwa na ukaguzi, polisi wanazunguka mahotelini usiku wa manane na kugonga milango kwa nguvu kama umevamiwa na majambazi.

Kwa wageni hii ni aibu, fikiria mtu umechoka, saa 8 huu usiku unagongewa mlango kwa nguvu kama vile ni mhalifu.

Nchi hii viongozi wenye akili wako wapi?
Hapo watakuwa wamepewa chimbo jipya la hela.
Just imagine Hotel na Lodges zilizopo Ubungo wakichukua 200k kwa kila Lodge ili wasifanye ukaguzi.
Wenye vilodge hela watamalizia kuhonga polisi.
 
7/7 inawaumiza, wanadhani raia watandamana usiku, hao wageni si wawasubiri mchana tu kweny road. free lissu!!
 
Tangu waziri wa Mambo ya ndani atangaze kuwa kutakuwa na ukaguzi, polisi wanazunguka mahotelini usiku wa manane na kugonga milango kwa nguvu kama umevamiwa na majambazi.

Kwa wageni hii ni aibu, fikiria mtu umechoka, saa 8 huu usiku unagongewa mlango kwa nguvu kama vile ni mhalifu.

Nchi hii viongozi wenye akili wako wapi?
kwa hiyo mapolisi wenu wamekuwa ICE wa Marekani
 
Wanaangalia kama mmeingia na IDs
Polisi kupitia hii watapiga pesa sana aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom