Kuanzia Mkuu wa mkoa, wakuu wa wilaya(Butiama,Musoma, Serengeti), makatibu tawala(mkoa na wilaya zilizotajwa), wabunge na viongozi wengine katika mkoa wetu wajitathimini
Hata ukienda kwenye maduka makubwa wamiliki wa hayo maduka wanauza vitu ambavyo wanavimiliki vikiwa dukani ila sio vile ambavyo wanavyo majumbani.
Yote yanafanyika kwasababu ili utengeneze faida ni lazima ujue mteja anataka nini na sio wewe unataka nini
NB. Tanzania ni nchi huru kwa wenye maslahi
Duuh kweli?
Ebu fikiria mwanao akawa miongoni mwa watakaobainika halafu hiyo sheria ikawa imepitishwa utakuwa katika hali gani? Wewe fikiria tu.
Kunyonga mwanafunzi sio suluhisho la kudumu na lenye uwiano sawa ingawa umesema ni maoni binafsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.