Recent content by Ulirchdov

  1. Ulirchdov

    Umewahi kuchekeshwa na MC Pilipili?

    Siku aliyonichekesha ni ile aliyokuwa kwenye interview na mkewe halafu alivyohojiwa na zamarad akaanza kulia
  2. Ulirchdov

    Kwanini siku hizi kuongea matusi ni jambo la kawaida?

    Siku hizi matusi yamekuwa vivumishi na vielezi sio kama zamani
  3. Ulirchdov

    Afisa wa TAKUKURU amuua mchumba wake kwa risasi baada ya kumkatalia ndoa licha ya kumsomesha

    Matukio ya namna hii hayataisha kwasababu mapenzi yapo kila uchao R.I.P NB.Epuka kusomesha mchumba ili kuepusha matukio ya kutwangana risasi
  4. Ulirchdov

    Adam Malima na RAS wako hapo Mara mjitathmini

    Mbunge wa Musoma vijijini/Butiama ni bonge la mzigo
  5. Ulirchdov

    Adam Malima na RAS wako hapo Mara mjitathmini

    Kuanzia Mkuu wa mkoa, wakuu wa wilaya(Butiama,Musoma, Serengeti), makatibu tawala(mkoa na wilaya zilizotajwa), wabunge na viongozi wengine katika mkoa wetu wajitathimini
  6. Ulirchdov

    CHAN: Sudan 1 vs 2 Tanzania - Taifa Stars yafuzu mashindano ya CHAN kwa faida ya goli la ugenini

    Salumu Mashaka Kimenya Anacheza kimashaka mashaka kama jina lake
  7. Ulirchdov

    CHAN: Sudan 1 vs 2 Tanzania - Taifa Stars yafuzu mashindano ya CHAN kwa faida ya goli la ugenini

    Huyu kimenya ni gap ingawa bado mapema lakini dalili ya mvua ni mawingu
  8. Ulirchdov

    Watanzania waliopo nje ya nchi watapataje vitambulisho vya Taifa?

    Inakuwaje mtu anatumia App ya NIDA ili kupata namba ya kitambusho halafu anaambiwa taarifa zake sio sahihi wakati taarifa ni sahihi?
  9. Ulirchdov

    Kwanini wamasai huuza viatu vizuri vya kimasai wakati wao huwa Wanavaa makubasi ya matairi?

    Hata ukienda kwenye maduka makubwa wamiliki wa hayo maduka wanauza vitu ambavyo wanavimiliki vikiwa dukani ila sio vile ambavyo wanavyo majumbani. Yote yanafanyika kwasababu ili utengeneze faida ni lazima ujue mteja anataka nini na sio wewe unataka nini NB. Tanzania ni nchi huru kwa wenye maslahi
  10. Ulirchdov

    Wahaya wengi ni wasomi lakini Kagera ni maskini kwanini?

    Kusoma sio shida, shida ni kubadili elimu kuwa pesa
  11. Ulirchdov

    Rais Magufuli amuumbua Janet Mbene waziwazi

    Fitina ni mbaya sana
  12. Ulirchdov

    Kuchapwa viboko wanafunzi wakuchoma mabweni wa mali za shule hakutoshi tuwe na sheria ya KUNYONGA watakaobainika.

    Duuh kweli? Ebu fikiria mwanao akawa miongoni mwa watakaobainika halafu hiyo sheria ikawa imepitishwa utakuwa katika hali gani? Wewe fikiria tu. Kunyonga mwanafunzi sio suluhisho la kudumu na lenye uwiano sawa ingawa umesema ni maoni binafsi
Back
Top Bottom