Kadri unavyovuta muda ndo unaharibu, wewe mchane mapema kabisaa otherwise utaingia kwenye mtego wa ex na ndo ataharibu vizuri sasa.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mzazi yupo sahihi kwasabu anaamini wewe kwenda church ni njia moja wapo ya kukusaidia kubaki kwenye mstari sahihi lakini pia kwa faida ya familia yako baadae, maana kama ambavyo yeye anajitahidi kuhakikisha unasali ndivyo ambavyo wewe utatakiwa kufanya hivyo kwa wanao...otherwise itakua ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.