Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
- Thread starter
- #21
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahh!! Kwani unatumia landline au mobile phone ??
[emoji23][emoji23][emoji23] mobile phone
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]dahh!! Kwani unatumia landline au mobile phone ??
Basi fanya maamuzi, mwamba akamatwi kizembe[emoji23][emoji23][emoji23] mobile phone
Kurudiana na x ni kula matapishi ya makande mkuu Bora ule wali samaki wako na maziwa na tui la Nazi namaanisha huyo lovery wako kuliko kurudi nyuma muulize (kondeboy) kilichomkuta 🤣🤣🤣🤣Hellow
Guys nina girl friend nampenda sana sana hivi juzi nilimwambia naomba meeting aje na rafiki yake home
Akasema no hawezi kuja labda mimi ndio niende kwake nikakubali kufika pale nakutana na rafiki yake ambaye alikuwaga ex wangu kipindi hiki niko shule ya upili
Sasa kufika pale nikajikausha kama simjui tangu nimekaa pale yule ex amekuwa akinitega sana nikatoka sebleni nikamwambia naenda kupumzika nikiwa room kaja tena kagonga mlango nikamwambia pita
Ndipo akapata nafasi ya kuongea na mimi akasema kuwa amwambie mchumba wangu ukweli wote kuhusu mimi na yeye mahusihano yetu au lah yeye amwambie na nikitaka asijue basi nichague kuludiana na yeye uku akiniongea kwa mitego
Mpaka sasa sijamwambia my lovery lakini yule ex bado anaendelea kutuma mapicha picha na sms za mitego na mimi simu huwa nikiwa na my lovery na mwachia hadi jf mda mwingine ana comment badala yangu
Nifanyeje wakuu
Kuna tofauti kati ya wanaume na wavulana. Huyu ni mvulana.Ila wanaume siku hizi mko kama mmerogwa🙆🙆🙆🙆
Ndio vichwa vya familia kweli hivi!!!
Kwani una mpango gani na "my lovery" wako?Hellow
Guys nina girl friend nampenda sana sana hivi juzi nilimwambia naomba meeting aje na rafiki yake home
Akasema no hawezi kuja labda mimi ndio niende kwake nikakubali kufika pale nakutana na rafiki yake ambaye alikuwaga ex wangu kipindi hiki niko shule ya upili
Sasa kufika pale nikajikausha kama simjui tangu nimekaa pale yule ex amekuwa akinitega sana nikatoka sebleni nikamwambia naenda kupumzika nikiwa room kaja tena kagonga mlango nikamwambia pita
Ndipo akapata nafasi ya kuongea na mimi akasema kuwa amwambie mchumba wangu ukweli wote kuhusu mimi na yeye mahusihano yetu au lah yeye amwambie na nikitaka asijue basi nichague kuludiana na yeye uku akiniongea kwa mitego
Mpaka sasa sijamwambia my lovery lakini yule ex bado anaendelea kutuma mapicha picha na sms za mitego na mimi simu huwa nikiwa na my lovery na mwachia hadi jf mda mwingine ana comment badala yangu
Nifanyeje wakuu
Sasa kumbe sasa hivi nitakuwa sikuquote tena wala kukujibu kumbe naweza kuwa najibizana na shemeji wakati huo mimi nakuheahimu mwamba.Hellow
Guys nina girl friend nampenda sana sana hivi juzi nilimwambia naomba meeting aje na rafiki yake home
Akasema no hawezi kuja labda mimi ndio niende kwake nikakubali kufika pale nakutana na rafiki yake ambaye alikuwaga ex wangu kipindi hiki niko shule ya upili
Sasa kufika pale nikajikausha kama simjui tangu nimekaa pale yule ex amekuwa akinitega sana nikatoka sebleni nikamwambia naenda kupumzika nikiwa room kaja tena kagonga mlango nikamwambia pita
Ndipo akapata nafasi ya kuongea na mimi akasema kuwa amwambie mchumba wangu ukweli wote kuhusu mimi na yeye mahusihano yetu au lah yeye amwambie na nikitaka asijue basi nichague kuludiana na yeye uku akiniongea kwa mitego
Mpaka sasa sijamwambia my lovery lakini yule ex bado anaendelea kutuma mapicha picha na sms za mitego na mimi simu huwa nikiwa na my lovery na mwachia hadi jf mda mwingine ana comment badala yangu
Nifanyeje wakuu
Sasa kumbe sasa hivi nitakuwa sikuquote tena wala kukujibu kumbe naweza kuwa najibizana na shemeji wakati huo mimi nakuheahimu mwamba.
Ndio hivyoo hakuna namna nyingine ya kuepuka Hilo..Wewe umenena vyema
Nihakikishie kuwa ni wewe Mwachiluwi sio demu wakoKivipi mkuu
Mrudie kisha mlepeleke mpalangeni hatarudia tena ujinga wake.kaadhabu ka muda kemye mnyooshoHellow
Guys nina girl friend nampenda sana sana hivi juzi nilimwambia naomba meeting aje na rafiki yake home
Akasema no hawezi kuja labda mimi ndio niende kwake nikakubali kufika pale nakutana na rafiki yake ambaye alikuwaga ex wangu kipindi hiki niko shule ya upili
Sasa kufika pale nikajikausha kama simjui tangu nimekaa pale yule ex amekuwa akinitega sana nikatoka sebleni nikamwambia naenda kupumzika nikiwa room kaja tena kagonga mlango nikamwambia pita
Ndipo akapata nafasi ya kuongea na mimi akasema kuwa amwambie mchumba wangu ukweli wote kuhusu mimi na yeye mahusihano yetu au lah yeye amwambie na nikitaka asijue basi nichague kuludiana na yeye uku akiniongea kwa mitego
Mpaka sasa sijamwambia my lovery lakini yule ex bado anaendelea kutuma mapicha picha na sms za mitego na mimi simu huwa nikiwa na my lovery na mwachia hadi jf mda mwingine ana comment badala yangu
Nifanyeje wakuu
Kajamaa kanaonyesha ni kavulana ndiyo kwanza kanabalehe,ukisoma mwandiko wake Aya ya pili tu unang'amua.mna utoto mwingi sana.
Na kumuita mwenzio my lovery umenikwaza sana.
Acha zarau dogoNitakuja piga makofi kwaza kachakazwa uko wewe kipindi kile kalikuwa karembo sasaiv ananuka maziwa kama wamasai [emoji23][emoji23][emoji23][emoji847]
Lugha hukua "lovery"!Teh!teh!teh!mna utoto mwingi sana.
Na kumuita mwenzio my lovery umenikwaza sana.