Recent content by Ulimboka kassimoto

  1. U

    Shamba linahitajika, kuanzia heka au zaidi. Maeneo ya Kibaha hadi Mlandizi

    Mkuu Mimi Nina eneo la sq meter 900 na Lina Nyumba nauza kibaha maili 1 kwa dachi maduka matatu ni pm.
  2. U

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    Mdahalo wa nini wakati mh rais lowassa anasubili kuapishwa tu?! Msubili kwanza aapishwe ndio mje na huo mdahalo wenu.
  3. U

    Mramba wa TANESCO hueleweki, kazi imekushinda, jiuzulu!

    Simtetei mramba Ila uhalisia bwawa la mtera halina maji kutokana na mvua chache za msimu uliopita ukizingatia maji Haya haya ya mtera yanakwenda kusukuma na mashine za umeme za kidatu watanzania wenzangu kwa unyenyekevu tumuombe mungu atuletee mvua za kutosha tuwe na umeme wa kutosha kama...
  4. U

    Mramba wa TANESCO hueleweki, kazi imekushinda, jiuzulu!

    Napingana na wewe mramba sio mkurugenzi wa mvua ni mkurugenzi wa shirika la tanesco tuungane nae kumuomba mungu atushushie mvua za kutosha binafsi naamini bwawa likijaa hata Leo uwezi kusikia mgao kuanzia Leo nafkiri umeme wa vyanzo vya maji bado unanafi kubwa kwenye taifa letu.
  5. U

    Mramba wa TANESCO hueleweki, kazi imekushinda, jiuzulu!

    Mkuu karibu poyo na kambale wa gengeregengere mtera Ila umetoa neno la maana kiongozi.
  6. U

    Kansa Mbarouk: Msajili wa vyama vya siasa atanilinda

    chadema kamwe hatuongozwi na kansa iwe ya ubongo au hiyo ya mbaruku
  7. U

    Kansa Mbarouk: Msajili wa vyama vya siasa atanilinda

    mbowe katumwa na mungu kuing'oa ccm.
  8. U

    Unyama huu kamwe auvumiliki.

    na mm tupia humu whtsapp 0754822766
  9. U

    Lucky Dube ana mziki mzuri kuliko Bob Marley.

    peter tosh over the top!!
  10. U

    Waigizaji Tanzania mnamuona Lupita Nyong'o

    uwezi kuzungumzia dhambi bila kumtaja shetani ccm.
  11. U

    Nimetimiza ahadi, RIP kadi ya CHADEMA

    bora tuwe wachache wenye msimamo kuliko kuwa wengi na machoko.
  12. U

    Mhariri HabariLeo ahamia Uhuru

    habari leo+ uhuru=pua + kamasi
  13. U

    Mzee Malecela atoa tamko - Amuunga mkono Paul Makonda

    safi sana mkuu naona umewafinya vizuri.
Back
Top Bottom