Kwani wewe ulikuwa na cheo gani ndani ya CDM?
Naibu katibu mkuu msaliti wa wanyonge kama sikosei
Kwani wewe ulikuwa na cheo gani ndani ya CDM?
Ungefanya cha maana sana na ningekuona wewe ni shujaa kama ungejimiminia pipa la petrol na ukajipiga kiberiti wewe mwenyewe.
Hizo karatasi kila mtu anazo
Kwa hiyo hoja yako ni kutotumia gari la serikali tu! Unatakiwa kupimwa siyo mzima.............!
SO UMEWEKA NA NAMBA YAKO ILI MAGAMBA WAKUPIGIE WAKU~ENLIST KTK BUKU 7 ZA LUMUMBA SIO/be strong,lookat your grandaugher future njaa ya leo kilio cha kesho!Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.
View attachment 142561
Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html
Njano5.
0784845394.
Mpaka awe nacheo we hujui kwenye mia ukitoa moja haitasomeka mia tena jiangalie mtaisha kidogo kidogo
Invincible,
Kwa hili la CCM mimi sipo, lakini mimi pia Sio CHADEMA wala CUF wala JAHAZI Asilia...
Issue hapa ni kwamba ukivaa kofia ya kimojawapo, hutaweza kudigest reality hata kidogo, ndio maana narudia tena,,, Tukosoe Mfumo,,, sio watu, mfumo unatakiwa umuadabishe mtu yeyote akiwa rais, DC, RC etc... sio kutegemea nia njema ya mtu fulani au kukoromea watu fulani...
Mambo mengi yanayotokea yanasababishwa na wananchi wenyewe,,,
Pili, Nadhani mimi napenda reality zaidi kuliko kusukumwa na Maneno yakina Mnyika etc...
e.g. Mkumbo alikuwa mwenye kutoa hoja nzuri sana lakini alivyovaa kofia ile nyingine hutaamini kwamba ni Kitila yule yule...
JF inaelekea unahitajika kuwa mpiga debe wa CHADEMA ndio watu watakusoma vizuri, mimi sio, Ingawa najua at least ndio chama ambacho kingetusaidia kama wangeendelea na moto ule ule wa 2005... Ila sasa hivi naona kama mkaa unaisha kunabaki majivu...
Kadi yenyewe mbona haijawai kulipiwa?
Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.
View attachment 142561
Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html
Njano5.
0784845394.
Nimetimiza ahadi, R.I.P KADI YA CHADEMA.
View attachment 142561
Mimi si kama Mbowe alitangaza hadharani kuwa hachukui gari ka serikali lakini alikwenda kinyere kulichukua,,,ametufanya watanzania wajinga,,,namshukuru mungu kwa kutimiza ahadi yangu, kwa hili nimejitafautisha na Mbowe.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...-kwanza-ni-kuipiga-kibiriti-kadi-chadema.html
Njano5.
0784845394.