Recent content by ukuwi

  1. ukuwi

    TANZIA Gardner G Habash mtangazaji wa Clouds Media afariki dunia

    Kuna kitu huwaga nawaza na sipati majibu kuna wazee wa UBANDA HUWAGA wanakunywa maisha yao yote tena siyo bia ni mwendo wa Gongo Chang’aa Wanzuki na Mataputapu na hiyo ni tokea naanza kupata ufahamu wangu hadi leo hii bado nawaona wanaburudisha nafsi zao lakini huwakuti kuumwa wala kupata...
  2. ukuwi

    Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

    Hiki kitu nimewahi kusikia kwa watu tofauti kuwa baada ya kifo roho yako inapewa mwili mwengine,sasa hapo itategemea na mwili kama ni wa mnyama au binadamu na huwa inakuwa hivyo kutokana na maisha uliyokuwa unaishi hapa duniani na niliuliza ni Kwann inakuwa hivyo nikaambiwa kakuwa pepo na moto...
  3. ukuwi

    Nishauri series gani niangalie

    BLACK LIST
  4. ukuwi

    Bata siku 5460, paradiso ya kukumbukwa

    Umenikumbusha mbali sana kuna kigogo mmoja alikuwa ana miliki nyumba tano mtaa mmoja na hakuna hata moja anayoishi ndani yake. Kino ya miaka hyo ilikuwa nyumba teja nyumba Kahaba nyumba tapeli nyumba shehe nyumba wauza ngada kwahyo siku polisi wakiamua kuingia street hakuna nyumba wanaacha...
  5. ukuwi

    Kama hujajipanga vizuri usichokoze ujenzi

    Mkuu mimi na wewe ni ndugu nn maaana natembelea humo humo,nikiona kitu hakiwezekani nakuwa nakipa muda wa kujipanga upya ili tu nisiguse akiba.
  6. ukuwi

    Bado una ndoto za kuzamia Ulaya?

    Hizo Picha mbili za mwisho kama Barcelona
  7. ukuwi

    Huu umasikini si mzuri

    Unatumia I phone na huna buku jero acha utani
  8. ukuwi

    Vyumba Vitatu vya kumalizia vinauzwa

    Mbona kwa chini hujafunga mkanda mkuu
  9. ukuwi

    Kitambi kwa mwanamke kinakata stimu sana

    Hapana kwakweli kwa kile kitambi kama kiriba tumbo atanisamehe kwakweli
  10. ukuwi

    Kitambi kwa mwanamke kinakata stimu sana

    Mkuu unachosema ni kweli kuna ka x kangu ka kitambo sana juzi nimekutana nako nikahitaji kupasha kiporo baada ya story mbili tatu za kwenye simu tukapanga kesho yake niende kumuona na kupanga jinsi tunaweza kuvunja amri ya sita Baada ya kufika eneo la tukio kumuona tu hisia zote zikakata...
  11. ukuwi

    Naomba ushauri wa aina ya bati ya kuchaguala?

    Hapo kwenye bati panatia hasira sana mkuu mimi nataka niezeke kwa maturubai kisha nihamie maana pesa imekata kwenye boma na hela ya kuendelea kulipa kodi sina
  12. ukuwi

    Eminem ndiye rapper bora kuwahi kutokea, kikwazo ni rangi

    Hatari sana nimeona kuna vizee vina nywele nyeupe vimesimama kuonesha vimekongwa nyoyo zao
  13. ukuwi

    Dau la elfu 10 cash kwa atakayeweza kuandika hii

    ————————————————
  14. ukuwi

    Binti akifikia hatua hii, omba Mungu

    Mkuu usipate tabu nipigie pande mimi nimpeleke home kwa maza wataelewana tu
Back
Top Bottom