Recent content by ukuwi

  1. ukuwi

    Naweka challenge hapa. Tukubaliane kiasi cha Pesa. Mwanamke akiweza hili nampa pesa yake

    Sasa sisi wenye vibamia na tunaokaa muda mrefu huwa mnatuchora siyo?
  2. ukuwi

    Unafanya Programming au Advanced Video Editing? Tumia hizi machine

    Hapo Sawa kaka kwa shughuli ndogo ndogo hapo haina shida.
  3. ukuwi

    Unafanya Programming au Advanced Video Editing? Tumia hizi machine

    Kwa shughuli za editing nashauri utumie Mac Pro sema bei imesimama sana,ila kibongo Bongo nashauri I Mac au MacBook Pro hizo zina himili shida kwenye rendering kikubwa uwe ram za kutosha,ila kwa hizo Mac mini na MacBook air zinasumbua kufanya kazi za production siku ukiwa na mzigo mkubwa utakuja...
  4. ukuwi

    Atheists bado ni jambo geni kabisa Tanzania ?

    Zama zime badilika mambo yamekuwa mengi,Muda umekuwa hautoshi na mambo yamekuwa mengi,Utandawazi umekuwa na Elimu zimekuwa nyingi na hakuna mipaka ya kupata maarifa mapya. Ugumu wa maisha changamoto za kifamilia kiuchumi Siasa na mahusiano ni moja kati ya vitu ambavyo vina vuruga akili ya...
  5. ukuwi

    Siku yangu ya kwanza kufika Pangani Tanga, haya ndio yalionikuta

    Sasa kama ulikuwa na shughuli za kufanya si ungemaliza kwanza au ulikuwa unawahi nafasi.
  6. ukuwi

    Midoli: naomba kujuzwa chochote unacho kijua kuhusu midoli

    Huyo huyo ana balaa lake huyo akiwa ndani hapakaliki.
  7. ukuwi

    Midoli: naomba kujuzwa chochote unacho kijua kuhusu midoli

    Kuna huyo mdoli anaitwa Anabelle ni kisanga.
  8. ukuwi

    Mambo yanatambulisha Ujinga wa ki Africa

    Ukinusa hulambi,ukilamba hunusi.
  9. ukuwi

    Hii ina maana gani kwenye mahusiano?

    Kwanza ni kosa kuishi na mtoto wa watu bila ndoa,na ukijichanganya siku ya kwenda kutoa mahari ndio utajuwa hujuwi maana wata kukomoa kwa kuwa umeanza kuishi na binti yao bila kufuata taratibu ni kosa kuishi na mwanamke ki nyumba bila kufuata taratibu,kumbuka huyo ni binadamu lolote linaweza...
  10. ukuwi

    Hali inatisha, Uswahilini Dar es salaam watu wamepigika na maisha mpaka basi. Nyuso zimekosa nuru

    Ukiwa free tuzurure ukaone maisha ya uswahilini ndio utajuwa nini namaanisha.
  11. ukuwi

    Hali inatisha, Uswahilini Dar es salaam watu wamepigika na maisha mpaka basi. Nyuso zimekosa nuru

    Kila mahali huwa kuna uswahilini kwake na ushuani pia haimaanishi wote wanaoishi eneo fulani watakuwa na hali zinazo lingana. Unaweza ona majimatitu ndio sehemu ya chini kabisa ila kuna sehemu nyengine ukafika ukaona bora kule kuna afandhali.
  12. ukuwi

    Hali inatisha, Uswahilini Dar es salaam watu wamepigika na maisha mpaka basi. Nyuso zimekosa nuru

    Ukiwa na life hiyo,Hama mapema maana utaishia kulogwa maana uswahilini hatupendi maendeleo.
  13. ukuwi

    Hali inatisha, Uswahilini Dar es salaam watu wamepigika na maisha mpaka basi. Nyuso zimekosa nuru

    Karibu kwetu ukiweza kudumu kwa kwa dakika 45 nakupa vyeo.
Back
Top Bottom