Kuna kitu huwaga nawaza na sipati majibu kuna wazee wa UBANDA HUWAGA wanakunywa maisha yao yote tena siyo bia ni mwendo wa Gongo Chang’aa Wanzuki na Mataputapu na hiyo ni tokea naanza kupata ufahamu wangu hadi leo hii bado nawaona wanaburudisha nafsi zao lakini huwakuti kuumwa wala kupata...
Hiki kitu nimewahi kusikia kwa watu tofauti kuwa baada ya kifo roho yako inapewa mwili mwengine,sasa hapo itategemea na mwili kama ni wa mnyama au binadamu na huwa inakuwa hivyo kutokana na maisha uliyokuwa unaishi hapa duniani na niliuliza ni Kwann inakuwa hivyo nikaambiwa kakuwa pepo na moto...
Umenikumbusha mbali sana kuna kigogo mmoja alikuwa ana miliki nyumba tano mtaa mmoja na hakuna hata moja anayoishi ndani yake.
Kino ya miaka hyo ilikuwa nyumba teja nyumba Kahaba nyumba tapeli nyumba shehe nyumba wauza ngada kwahyo siku polisi wakiamua kuingia street hakuna nyumba wanaacha...
Mkuu unachosema ni kweli kuna ka x kangu ka kitambo sana juzi nimekutana nako nikahitaji kupasha kiporo baada ya story mbili tatu za kwenye simu tukapanga kesho yake niende kumuona na kupanga jinsi tunaweza kuvunja amri ya sita
Baada ya kufika eneo la tukio kumuona tu hisia zote zikakata...
Hapo kwenye bati panatia hasira sana mkuu mimi nataka niezeke kwa maturubai kisha nihamie maana pesa imekata kwenye boma na hela ya kuendelea kulipa kodi sina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.