Uchumi IMARA kokote duniani, MALORI ndio yanapaswa kuihudumia RELI. Na kimsingi walioziua RELI za Mjerumani na Mchina ni hao hao wamiliki wa MALORI ambao wengi wao walikuwa watunga SERA au marafiki zao eidha kwa rushwa au kwa kujuana. Sasa naona wanarejea tena kwa mlango wa DEMA
Hivi kuna haja kweli ya kuendelea kuwa na hili shirika la elimu Kibaha? Shirika hili limejaa madudu mengi sana. Huduma inayotolewa na hospitali ya Tumbi ni ya ovyo.
Mbona uliweza kula nyama za wanyama wakuchinja?
Haya mambo ni mazoea tu na tamaduni ulizozikuta au ulizozirithi ulipokuja hapa duniani. Ndio maana unaona leo kuna watu wanakula nyoka, panya, nguruwe n.k lakini hapo hapo kunawengine hawatumii unajua kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.