Recent content by ukuta2013

  1. U

    TANZIA Mwanafunzi wa UDSM (COET) agongwa na gari

    Duh Jambo la Mwaka 2015 una-comment leo Mwaka 2020. Kunywa maji Mzee
  2. U

    Tafakuri ya Faizafoxy 5: Mtego wa panya, Rushwa, Ufisadi, Siasa, Uchumi, vimenasa vyote?

    Uchumi IMARA kokote duniani, MALORI ndio yanapaswa kuihudumia RELI. Na kimsingi walioziua RELI za Mjerumani na Mchina ni hao hao wamiliki wa MALORI ambao wengi wao walikuwa watunga SERA au marafiki zao eidha kwa rushwa au kwa kujuana. Sasa naona wanarejea tena kwa mlango wa DEMA
  3. U

    Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Elimu Kibaha kupisha uchunguzi

    Hivi kuna haja kweli ya kuendelea kuwa na hili shirika la elimu Kibaha? Shirika hili limejaa madudu mengi sana. Huduma inayotolewa na hospitali ya Tumbi ni ya ovyo.
  4. U

    Nyama kuanza kutengenezwa maabara

    Mbona uliweza kula nyama za wanyama wakuchinja? Haya mambo ni mazoea tu na tamaduni ulizozikuta au ulizozirithi ulipokuja hapa duniani. Ndio maana unaona leo kuna watu wanakula nyoka, panya, nguruwe n.k lakini hapo hapo kunawengine hawatumii unajua kwanini?
  5. U

    Rais Magufuli ateua mabalozi, Emmanuel Nchimbi aula Brazil

    Sentensi nzuri..... Amewapangia vituo vya kazi.....
  6. U

    Tuacheni Kumlaumu Rais Kuteua Wanaume, TZ Hatuna Wanawake Wenye Sifa na Vigezo vya Kuteuliwa!

    "ina maana wanawake walioteuliwa ndio wanaowaponza au wanaowaangusha wenzao kutokana na underperfomance zao"
  7. U

    Makongoro Mahanga: Rais kavunja katiba kuteua wabunge wa kiume 6, inataka wawe wanawake angalau 5

    Ndalichako, Mbarawa, Mahiga, Mpango, Kabudi na Bulembo. Ni hao tu ambapo mwanamke ni mmoja Ndalichako. Huyo wa sita mwanaume ni nani?
  8. U

    Pengine sababu ya kutumbuliwa DCI Diwani Athuman ni hii....

    Kuna tofauti kati ya ofisi ya DPP na DCI, msichanganye mambo
  9. U

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    game Saa ngapi?
  10. U

    Hongera Serikali, Top 10 shule za serikali zimerudi

    Private schools wameingiza shule tano (5) na Government schools tumeingiza shule 5. Nusu kwa nusu
Back
Top Bottom