Nyama kuanza kutengenezwa maabara

Nyama kuanza kutengenezwa maabara

unatumia tabs za vitamin B12 lakin mkuu.....kwenye nyama hatupati proteins tu....
Natumia soymilk kupata Vitamin B12.

Mkuu ukiamua kuwa vegan au vegetarian inamaanisha umeamua kuiahi maisha ya kujifunza. Na hapa namaanisha kujifunza kuhusu afya na vyakula pia.

Wewe ukiamua kuwa vegetarian basi utakula samaki, mayai na maziwa wala huto hitaji kujali kuhusu Vitamin B12 kwasababu vyakula vyote hivi hina Vitamin B12.

Pia mwili unahitaji kiasi kidogo tu cha Vitamin B12
 
Natumia soymilk kupata Vitamin B12.

Mkuu ukiamua kuwa vegan au vegetarian inamaanisha umeamua kuiahi maisha ya kujifunza. Na hapa namaanisha kujifunza kuhusu afya na vyakula pia.

Wewe ukiamua kuwa vegetarian basi utakula samaki, mayai na maziwa wala huto hitaji kujali kuhusu Vitamin B12 kwasababu vyakula vyote hivi hina Vitamin B12.

Pia mwili unahitaji kiasi kidogo tu cha Vitamin B12
thats ok...ila mkuu kuna utofauti kati ya VEGAN and VEGETARIAN.....
 
Nimekuwa vegan mwaka wangu wa sita sasa. Nashangaa watu wanaosema usipokula nyama hutopata proteins yakutosha kwenye mwili sasa mimi nimeishi miaka yote hiyo afya yangu ni nzuri sijapata tatizo lolote. Kiufupi ni kwamba nakula chakula kinachotoka ardhini tu. Kama ni protein basi napata kwenye Broccoli au maharage na jamii nyingine ya beans.
Huko kwenye vege mbona watu walishatangulia kitambo tu? anzia kwenye mchicha, nyanya, na mboga mboga zote uzijuazo. Hata mahindi tayari watu wameyachakachua. Ukitaka kuwa salama wewe bora uwaachie dunia tu.
 
Huko kwenye vege mbona watu walishatangulia kitambo tu? anzia kwenye mchicha, nyanya, na mboga mboga zote uzijuazo. Hata mahindi tayari watu wameyachakachua. Ukitaka kuwa salama wewe bora uwaachie dunia tu.
Sio mazao yote yamekuwa genetically modified. Utambuwe hili
 
Sio mazao yote yamekuwa genetically modified. Utambuwe hili
Ukiona hivyo ujue haya mahitaji makubwa, yakishakua kwenye mahitaji makubwa ni lazima yachakachuliwe kwa lengo la kuongeza production ili kutosheleza soko na population. Hata hayo unayoweza kuyaona hivi sasa kama ndiyo ya asili jua ni kwa vile ulizaliwa na kuyakuta ila kimsingi yalishafanyiwa modification.
Sasa hivi hadi mihogo tayari ipo modified
 
iyo nyama itakua na mifupa au haina mifupa?
kama haina siitaki kuila hata robo
 
Ukiona hivyo ujue haya mahitaji makubwa, yakishakua kwenye mahitaji makubwa ni lazima yachakachuliwe kwa lengo la kuongeza production ili kutosheleza soko na population. Hata hayo unayoweza kuyaona hivi sasa kama ndiyo ya asili jua ni kwa vile ulizaliwa na kuyakuta ila kimsingi yalishafanyiwa modification.
Sasa hivi hadi mihogo tayari ipo modified
Mkuu wewe swala ya mazao na chakula huchukulii kwa uzito. Mimi na familia yangu tumekuwa tukitunza mbegu za mazao ya asili kwasababu tunafahamu siku hizi watu hawajali lolote inapokuja suala la vyakula. Nini ule na nini usile. Pia sehemu nyingi hapa Tanzania bado unapata vyakula vya asili kwa urahisi tu wakulima wetu wadogo bado wanazalisha kwa asili. Siku hizi wakulima wanahimizwa kutunza mbegu zao za asili. Niliona shirika kutoka US walikuja hapa Arusha walikuwa wanatafuta mbegu za kila aina ya zao na kila aina ya mmnea. Hadi vijijini walifika, wakakusanya wakaondoka zao. Hapa nataka ufahamu kwakiasi gani imekuwa muhimu sasa watu watunze mbegu za mazao ya vyakula. Ukisema watu kama Monsanto wanacontrol mbegu za mazao yote unajidanganya.......bado hawajafanikiwa. Sisi tujitahidi kuwa smart zaidi.....you can feed yourself dont let the system fool you.
 
Sidhani kama haya mabadiliko ya tabia ya nchi yatatukwepesha kula vyakula vya maabara. Miaka kumi ijayo huenda bio food ndio ikawa mtindo wa kisasa hasa kwa maskini ambao wako tayari kula chochote kitachoweza kuokoa uhai. Tuendako, vyakula flesh kutoka shamba vitakuwa vya wenye pesa. Refer junky foods kwenye shopping malls za watu wa kipato cha chini huko ulaya na marekani halafu uone tuendako.
 
Sidhani kama haya mabadiliko ya tabia ya nchi yatatukwepesha kula vyakula vya maabara. Miaka kumi ijayo huenda bio food ndio ikawa mtindo wa kisasa hasa kwa maskini ambao wako tayari kula chochote kitachoweza kuokoa uhai. Tuendako, vyakula flesh kutoka shamba vitakuwa vya wenye pesa. Refer junky foods kwenye shopping malls za watu wa kipato cha chini huko ulaya na marekani halafu uone tuendako.
Umesema kweli. Sasa hivi tuhimize wakulimawatunze mbegu za mazao ya asili. Bila hivi watu wa kada ya chini watakuwa watu wakuugua "magonjwa mapya" kwakula junk foods. Lakini pia serikali isipolinda watu wake inasikitisha zaidi. Niliona sehemu eti kuna wakulima huko Iringa (Kama sijakosea) wamekatazwa kumiliki mbegu za asili ya mazao wanayozalisha. Najiuliza serikali itakuwa inafanya kazi ya kutetea big corporations tu wanaotafuta super normal profit kwa mgongo wa mkulima masikini?
 
mim siamini sana ....coz unaposema wanaweka sumu ili watu wafe sasa the so called shetani atampata wapi mtu wa kumdanganya?....kwa upande wangu hayo ni mafanikio ya tafiti....na huenda ikatusaidia baadae katika matibabu n.k...
Telepathically mkuu.Labda hii hata hivyo iko above your level of thinking.Hata hivyo kumbuka kwamba wapo wajinga waliojitoa kabisa kumtumikia Shetani.Hao ndio wanaotumiwa kufanya kazi hizo.
 
Nimekuwa vegan mwaka wangu wa sita sasa. Nashangaa watu wanaosema usipokula nyama hutopata proteins yakutosha kwenye mwili sasa mimi nimeishi miaka yote hiyo afya yangu ni nzuri sijapata tatizo lolote. Kiufupi ni kwamba nakula chakula kinachotoka ardhini tu. Kama ni protein basi napata kwenye Broccoli au maharage na jamii nyingine ya beans.
Samaki pia hugusi mkuu?
 
Mimi siwezi kula hiyo vitro
Mbona uliweza kula nyama za wanyama wakuchinja?

Haya mambo ni mazoea tu na tamaduni ulizozikuta au ulizozirithi ulipokuja hapa duniani. Ndio maana unaona leo kuna watu wanakula nyoka, panya, nguruwe n.k lakini hapo hapo kunawengine hawatumii unajua kwanini?
 
Kwavile haitokani na kiumbe hai, hiyo ni haramu
 
Back
Top Bottom