Recent content by UKUILAIBRAH

  1. UKUILAIBRAH

    Ibrahim Traoré wa Burkina Faso na wafuasi katika chungu kile kile cha fikira haba kuhusu maendeleo

    lakini kabla ya kwenda asia na kuja africa tayari walikuwa wameshafanya mapinduzi ya viwanda na walishaendelea, je huoni kama africa inahitaji mtazamo mpya kuhusu maendeleo leo, nchi kama thailand haina vivutio vingi vya utalii ila ni miongoni mwa nchi zinazopokea watalii wengi kwa mwaka
  2. UKUILAIBRAH

    Dark days 17/03/20

    mkuu kwani our hadithi mpaka december ndo itaendelea kwa hapa hapa katikati kuna vijistory vitapita je utaturuhusu tuje kuunganisha dot na our main story ya december:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:
  3. UKUILAIBRAH

    Jinsi Putin alivyoifanya Urusi kuwa kubwa tena

    afghanstan mbona amekimbia mwenyewe, vietnam aliaibishwa vibaya mno mbona hamyasemi hata kumpata. kama ni mwamba mbona lishindwa kujua osama bin laden kujua alifichwa wapi mpaka pale jeshi la pakistan lilipoamua kuwaonyesha, kama ulikuwa hujui Saddamalikuwa kibaraka wao ila walipoona...
  4. UKUILAIBRAH

    Haya Ndio Mataifa huru duniani

    nani ali nani aliyekuambia huawei kapotea kwenye ramani ya dunia, ili hali 5G za nchi dunian mitambo ni yake. na anafanya majaribio ya 6G
  5. UKUILAIBRAH

    Population ya Dubai ni milioni 3.5M na Tanzania ni milioni 63, ina maana hakuna kabisa watu wa ku-design Bandari?

    trust me dp world ataenda kuwafunga watu midomo na kusema kwa nini walichelewa kuja husussani tz ni potential kwenye swala la mizigo
  6. UKUILAIBRAH

    Taliban wavamia Iran na kuteka eneo

    huawei haijafa na nchi tu zinatumia mitambo ya huawei ya 5G, kutokana ni gharama nafuu,bali walivyopigwa sanctions na marekani walipunguza uzalishaji wa simu, kwa taarifa yako huawei alilkujana operating system yake
  7. UKUILAIBRAH

    Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

    jamani ndo kazi yake hiyo kachagua
  8. UKUILAIBRAH

    Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

    kaka muda haujafika muacheni atengeneze hela kwa maana hiyo ndokazi yake
  9. UKUILAIBRAH

    Diamond sauti yake haina ladha tena, tumechoka

    binadamu hmna jema akiimba nyimbo za kuparty hamtaki, akiimba kawaida kama alivyoanza mnaita old fashioned style basi hao ambao wanapambana nae au ambao ndo wapo kwenye trend kwa sasa wafanye angalau kumfikia robo lakin bado wanajikongoja
  10. UKUILAIBRAH

    MO Dewji anawazidi vipi utajiri Bakhresa na Rostam Aziz?

    GSM kawa maarufu kwa kuidhamin yanga ila kuna binadamu tanzania wana pesa ila hawana kelele
  11. UKUILAIBRAH

    Katika ajali ya ndege Iliyotokea juzi CCM imeonesha kwanini ni Chama Tawala mpaka leo na kwanini CHADEMA imeshindwa hata kupaka rangi ofisi zake

    ndege kuvutwa na kamba inaonyesha ni jinsi gani ambavyo serikali ya ccm imeshindwa kuongoza nchi, kwamba navy wana kazi gani
  12. UKUILAIBRAH

    Window laptops Vs Macbook laptops

    bonge moja la dude. kuna wale wahuni wa predator nao wana pc gaming nzuri hata kwa kufanyia desining zinafaa
Back
Top Bottom