lakini kabla ya kwenda asia na kuja africa tayari walikuwa wameshafanya mapinduzi ya viwanda na walishaendelea, je huoni kama africa inahitaji mtazamo mpya kuhusu maendeleo leo, nchi kama thailand haina vivutio vingi vya utalii ila ni miongoni mwa nchi zinazopokea watalii wengi kwa mwaka
mkuu kwani our hadithi mpaka december ndo itaendelea kwa hapa hapa katikati kuna vijistory vitapita je utaturuhusu tuje kuunganisha dot na our main story ya december:rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes::rolleyes:
afghanstan mbona amekimbia mwenyewe, vietnam aliaibishwa vibaya mno mbona hamyasemi hata kumpata. kama ni mwamba mbona lishindwa kujua osama bin laden kujua alifichwa wapi mpaka pale jeshi la pakistan lilipoamua kuwaonyesha, kama ulikuwa hujui Saddamalikuwa kibaraka wao ila walipoona...
huawei haijafa na nchi tu zinatumia mitambo ya huawei ya 5G, kutokana ni gharama nafuu,bali walivyopigwa sanctions na marekani walipunguza uzalishaji wa simu, kwa taarifa yako huawei alilkujana operating system yake
binadamu hmna jema akiimba nyimbo za kuparty hamtaki, akiimba kawaida kama alivyoanza mnaita old fashioned style basi hao ambao wanapambana nae au ambao ndo wapo kwenye trend kwa sasa wafanye angalau kumfikia robo lakin bado wanajikongoja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.