Recent content by ukoto

  1. ukoto

    Tanzia: Abby Sykes (Baba mzazi wa Dully Sykes) afariki dunia

    Wengi tutamkumbuka mzee huyu kwa ucheshi wake na jokes. Pia tutaumis muziki wake wa marimba. Binafsi mara ya mwisho mzee huyu nimwona Kinondoni kwenye bar ya Uhuru Peak akila gambe. Pumzika kwa amani mzee wetu!
  2. ukoto

    Lema: Chagonja haamini kama rais ameshamteua IGP

    Hana lolote mtu wa kutumwa tu!
  3. ukoto

    Intelijensia ya CHADEMA siku si nyingi itatupa ukweli wa kilichotokea Tanga

    Pwahahahaha "eti" amboni tanga! Maccm wanambinu za kizee kama lichama lao lilivyo zeee
  4. ukoto

    Maswali 10 kuhusu magaidi wa Amboni, Tanga

    CCM wana hali mbaya,Sasa naona griini gad wameamua kujifanya magaidi wenye misimamo mikali ya kidini. Tutawateketeza wote we endeleeni tu.
  5. ukoto

    VIDEO: Majigambo ya Vijana wa Tanga (magaidi?) baada ya kuwapora silaha Polisi

    Bunju haram ilianza hivi hivi sasa hiv ni jeshi kamili
  6. ukoto

    Mwana FA auangana na mastaa wa USA kwenye game la All Stars - NBA

    Kawaida sana! Hiyo ni Emirates boing 777 wala sio Air bus 380 jumbo class ni biz bei ni million 350000 Ambacho hamkijui FA kalipiwa tiket na Big boss Sallah wa home shopping center Na safari ilikuwa ya US So wana JF msidanganyane FA na Muziki wake hana mbavu ya kukata tiket hiyo Sio yeye tu...
  7. ukoto

    Makonda atakiwa kuomba msamaha kwa kumchafua Lowassa

    Ka Makonda Mamvi akichukuwa nchi sijuwi kataenda kulimia Wapi
  8. ukoto

    Jerry Muro: Nipo tayari kurudi ITV hata usiku wa manane

    Jamaa anasema alienda kusoma na alipirudi akakuta kibarua chake kimeota ngaro Ila anakiri ITV ndio kituo bora cha TV Tanzania,Amesema wakimwita hata usiku wa manane yupo tayari kwenda kufanya kazi ni sehemu bora na kituo bora kabisa. Majuto mjukuu!
  9. ukoto

    Sharobaro aonekana mitaa ya Mwenge Stand

    Mkuu ni kweli Jamaa kama anahepa vyupa dah!
  10. ukoto

    Sharobaro aonekana mitaa ya Mwenge Stand

    Mmmm kapromo kakiana haka!
  11. ukoto

    Amboni Tanga: Askari Polisi, JWTZ wapambana na majambazi wenye silaha nzito za moto

    Nini nia ya hawa watu? Au panya wamekufa sasa ni paka road
  12. ukoto

    Sharobaro aonekana mitaa ya Mwenge Stand

    Imegoma ngoja nifanye mchakato niiweke.
  13. ukoto

    Uchumi wa Tanzania umekufa hali ni mbaya mtaani.

    Uchumi wa Tanzania haujawahi kuwa mbovu namna hii toka nchi imepata Uhuru. Kila ninapopita wafanya biashara na wafanyakazi ni malalamiko tu. Kwa maoni yangu hali hii ikiendelea kabla ya uchaguzi mkuu watu lazima watafanya maandamano ya nchi nzima ya kulazimisha mageuzi ya kiutawala.
  14. ukoto

    Sharobaro aonekana mitaa ya Mwenge Stand

  15. ukoto

    BBC: Kijana wa miaka 17 apunguzwa uume

    Washa mwondolea ladha huyo wange mwacha aendelee kuwachapa
Back
Top Bottom