Hahah...huwa namuona karibu na white pamba sinza makaburini
anafanya kazi gani?
Msosi wake ni ugali dsgaa na nyanya chungu kwa mama ntilie, pia hana simu alivyoweka masikioni mkwara tu
Mnyasa kiboko, shati hata kama limechanika mgongoni lakini mbele amepiga taiAtakuwa Mnyasa huyu.
Huyu mshikaji anamikogo hatari..maskani yake ni pale Sinza makaburini..
Mbona msosi mzuri tu kiafya ingekuwa anakula ugali kwa chumvi hapo sawaMsosi wake ni ugali dsgaa na nyanya chungu kwa mama ntilie, pia hana simu alivyoweka masikioni mkwara tu
Huyu mwisho wa siku atakuja kuwa bwabwa
Kuna Wa Kila Aina Mkuu Na Siku Hizi Mlima Moto Kawe Ndiyo Mpango Mzima Kwa Wazee Wa Slope. Ni Jirani Kabisa Na Hapo Mti Pesa Kawe Ukwamani Panatazamana Na ATM Hiyo Ya NMB. Kazi Kwako / Kwenu.
Mkuu ni ile baa upande wa kushoto kutokea Lugalo ukipita tu kituo cha mabasi ya kawe-k/koo? Ina paa la makuti?
Hapo Hapo Mkuu. Kuna Totooz Hapo Za Kisingidani Na Urangini Si Mchezo! Na Kila Baada Ya Mwezi Wanabadilishwa Na Kuletwa Wengine. Anaondoka Messi Na Anaingia Ronaldo Je Unategemea Nini? Mlima Moto Kawe Ukwamani Stendi Ndiyo Habari Ya Mjini Kwa Sasa Kwa Wenye Matatizo Ya Ndoa, Wasiojua Kutongoza Na Wapenda Kitonga au Senkeke au Wami Na Wala Hawana UKIMWI Hivyo Uzeni Mechi Hamtakufa.