grafani11
JF-Expert Member
- May 24, 2011
- 15,441
- 5,820
Hapo Hapo Mkuu. Kuna Totooz Hapo Za Kisingidani Na Urangini Si Mchezo! Na Kila Baada Ya Mwezi Wanabadilishwa Na Kuletwa Wengine. Anaondoka Messi Na Anaingia Ronaldo Je Unategemea Nini? Mlima Moto Kawe Ukwamani Stendi Ndiyo Habari Ya Mjini Kwa Sasa Kwa Wenye Matatizo Ya Ndoa, Wasiojua Kutongoza Na Wapenda Kitonga au Senkeke au Wami Na Wala Hawana UKIMWI Hivyo Uzeni Mechi Hamtakufa.
Ngoja nimuelekeze house boy wangu ili apunguze kuchekacheka. Mimi hapo hapanifai, sisi wazee wa kutoka jasho ndipo ule chakula bora sio bora chakula.