Natokea Tanzania taifa lenye viongozi wazito kimaamuzi,hii ndio Tanzania vijana tunanunua gazeti kwa ajili ya kusoma habari ya diamond na wema,
umeme unapanda bila hata sababu maalum,huduma mbovu za afya,wanaokimbizwa mtaani ni wavuta bangi,ila wezi wa epa,Richmond na upuuzi mwingine wapo...