Usimuonyeshe dalili ya talalaka we jidai uanze kufanya onvestiments hata kupitia majina ya mtu unayemuamini then hizo assets zenu zichukulini mikopo halafu usilipe mpaka mpaka mje mfilisiwe after that omba talaka uanze upya ila kama umezaa nae hilo kimba lako huliachi 😀😀
Ukiona mtu yuko state anastrago na hataki kurud home , ni kwamba mwana anajua akitoka huko kurudi ndio nitolee pia anarudije bongo na yuko pumbu amekaa miaka kibao huko jamaa inajua katoboa wahuni wanaona bora lawama kuliko fedheha bora wawe tu homeless kuliko kufanywa mfano
Mtego wa madeni mpaka uwe na social security number credit card haitok tu kienyeji hao illigal aliens wanaish basement kwa wana ni kwamba hata kupanga chumba hawaruhusiwi achen kutisha watu US kwa mtu alieish maisha magumu bongo uko ni kitonga sana labda utake kuishi kama kina puffy dady...
Unahis upo uko peke yako huku mtoto wa mama unatumiwa poket money na wazee acha mbwembwe ongea na mabro vizuri upewe michongo unadhan ni hekima kukaa Harlem kwa mtu aliekuja kujitafuta marekan labda kama umekuja kufanya uhalifu au umekuja kusoma kukaa new york kwa mpiganaji ni kosa kubwa sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.