Recent content by ujoka

  1. ujoka

    Naombeni ushauri wakuu, mke wangu amezaa na mwanaume mwingine

    kuna mwamba alikua likizo kikaz akaenda bush kwao network chenga mkewe akamtengenezea chet cha kifo akapeleka kazin akavuta stahiki za kiongozi alafu akaolewa na mvuta bange wake wakat anasubiria taratibu za mirathi ndio mwamba anarudi anaonekana kama mzimu 😁😁😁
  2. ujoka

    Huenda hii ndiyo ajali mbaya zaidi ya mwendesha bodaboda nchini 2024

    afisa usafirishaji ndio alikua anapaa kwa physics yangu ya form 3 gari ingekua nduki io boda isingekua hapo angalau leo nimepata pakuelezea masuala ya inelastic and elastic collisions 😁
  3. ujoka

    Naombeni ushauri wakuu, mke wangu amezaa na mwanaume mwingine

    hawaelewi kila siku wahubiri wa kataa ndoa wanajitahid kuelimisha lakin wapi 😁😁
  4. ujoka

    Huenda hii ndiyo ajali mbaya zaidi ya mwendesha bodaboda nchini 2024

    transport officer alikua nduki kuu ukiona hivyo
  5. ujoka

    Tujenge utamaduni wa kupongeza jitihada zao wakiwa hai ili wafanye vizuri zaidi

    kuna mstari mdogo sana kati ya utamaduni wa kupongeza na kizazi cha machawa
  6. ujoka

    Huyu Mganga alipitaje pale JKNIA?

    mwanga na auawe
  7. ujoka

    Kafulila: Kwa miaka mitatu Rais Samia amekopa nje TZS 12.5T sawa US$ 5BL lakini amelizalishia Taifa TZS 47.5T sawa na US$19BL

    TANZANIA USD88 ELON MUSK USD193.6 next time tujaribu kutawaliwa na AI maana we have failed humanity
  8. ujoka

    Daraja lazamishwa baharini huko Baltimore- Marekani

    doh muhindi anakula USD1200 kwa mwezi mzungu anakula USD10200 kwa mwezi kama wanavyofanya uku kumbe na wao wanatendewa vivyo hivyo
  9. ujoka

    Niko polisi imepigwa filimbi ya kushusha bendera watu wote wakasimama! Hii maana yake nini?

    ukifanya hivyo jeshini lazima uchezee jando
  10. ujoka

    Tatizo la Ethiopia ni nini hadi raia wake kuikimbia nchi yao kwa mamilioni?

    hata mabaharia wetu enzi zile wanazamia walikua wanauza chochote home wapate fungu la safar haimaanishi walipotoka kulikua na neema kisa wana hela ya kuhonga njiani
  11. ujoka

    Stori gani ushawahi kusimuliwa kuhusu mchezaji wa mpira kumbe kamba?

    kuna mchezaji mmoja alikua bubu kati ya simba, yanga au milambo ya tabora alikua anapiga mashut balaa alishawah kupindisha mwamba wa goli kwa shuti lake pia alisha wahi kutoa mpira nje ya stadium mara kadhaa
Back
Top Bottom