Recent content by ujoka

  1. ujoka

    JamiiForums Tanzania Ayoub Rioba: Ninaomba Serikali ichukue hatua ngumu kukomesha hii 'narrative' ya utekaji. Tutaharibu Nchi yetu nzuri bila sababu za msingi!

    mtekaji alikua na rafudhi yakina yakhe what do you expect ?
  2. ujoka

    JamiiForums Tanzania Jinsi nilivyokosa mkopo wa Tsh. Bilioni 3 benki na niliyojifunza

    huo ndio uwinga wakitaalamu
  3. ujoka

    JamiiForums Tanzania Kofia(boshori) zibauso achia macho zinazoanza kushamiri mitaani sio nzuri kiusalama

    ipo siku watu watalalamikia vijana wasio na ajira na uvaaji kondom za msd
  4. ujoka

    JamiiForums Tanzania Tunawakumbuka Mawaziri Wakuu kwa makubwa ambavyo walitufanyia katika Taifa letu ila kwa kipindi cha Waziri Mkuu Joseph Sinde Warioba sijui tutakumbuka

    Warioba anachokifanya hivi sasa atakuja kukumbukwa na vizazi na vizazi kwa uzalendo uliotukuka kwa taifa hili
  5. ujoka

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Video: Polisi ilimwachia akakikimbia, akapigwa Risasi ya kwanza ikamkosa, ikapigwa Risasi ya pili ikampata akaanguka na kufariki

    Na wao nasikia wanadai watakuja na vyuma sijui watatoa wapi ila kitu cha msingi hiki kizaz hakitabiriki
  6. ujoka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nenda salama Diana niachie moyo wangu

    Akija kukuomba msamaha usifanye maamuzi yeyote ukiwa na nyege piga kwanza punyeto ndio umsikilize sawa mkuu ?
  7. ujoka

    JamiiForums Tanzania Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

    Ukiweka private life mtandaoni usiwalaumu wanamtandao, maana hawajawahi kuwa wema kama sepetu
  8. ujoka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wa kimarekani wengi ni kisanga aaah, natamani kuachana nae ila nahofia divorce itanifilisi

    Usimuonyeshe dalili ya talalaka we jidai uanze kufanya onvestiments hata kupitia majina ya mtu unayemuamini then hizo assets zenu zichukulini mikopo halafu usilipe mpaka mpaka mje mfilisiwe after that omba talaka uanze upya ila kama umezaa nae hilo kimba lako huliachi 😀😀
  9. ujoka

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Huko Mauritania bado kuna biashara ya kichini chini ya kuuza watumwa

    Mada mezani ni utumwa mauritania tuweke masuala ya biblia pembeni
  10. ujoka

    JamiiForums Tanzania Huyu kijana Charlie Kirk alikuwa shujaa wa nini huko Marekani mpaka anapewa heshima ya kuzikwa kijeshi na serikali ya Trump?

    K unaweza kuhisi mtu anaupeo mdogo mno ila ukimchunguza vizuri unagundua hana upeo kabisa anatumia upeo wa wengine ,amenishangaza sana kiongoz
  11. ujoka

    JamiiForums Tanzania Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    JK alikuaga muungwana sana yeye alikuaga anajiangukiaga tu mwenyewe alaf mzee yahaya anamuongezea ulinzi wa jadi
  12. ujoka

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Natafuta mdada ambaye jimbo lipo wazi mwenye lifestyle kama hii yangu

    Mbona wewe ujasemà kama mrefu alafu mweupe au wao wataangalia hela tu?
  13. ujoka

    JamiiForums Tanzania Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    Ukiona mtu yuko state anastrago na hataki kurud home , ni kwamba mwana anajua akitoka huko kurudi ndio nitolee pia anarudije bongo na yuko pumbu amekaa miaka kibao huko jamaa inajua katoboa wahuni wanaona bora lawama kuliko fedheha bora wawe tu homeless kuliko kufanywa mfano
  14. ujoka

    JamiiForums Tanzania Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    Mtego wa madeni mpaka uwe na social security number credit card haitok tu kienyeji hao illigal aliens wanaish basement kwa wana ni kwamba hata kupanga chumba hawaruhusiwi achen kutisha watu US kwa mtu alieish maisha magumu bongo uko ni kitonga sana labda utake kuishi kama kina puffy dady...
  15. ujoka

    JamiiForums Tanzania Mapepo, Maruani na Majini: Uhalisia au Hadithi?

    So unataka vitu vya kiroho vijibiwe kisayansi
Back
Top Bottom