Recent content by ujoka

  1. ujoka

    PostGE2025 Video: Polisi ilimwachia akakikimbia, akapigwa Risasi ya kwanza ikamkosa, ikapigwa Risasi ya pili ikampata akaanguka na kufariki

    Na wao nasikia wanadai watakuja na vyuma sijui watatoa wapi ila kitu cha msingi hiki kizaz hakitabiriki
  2. ujoka

    Nenda salama Diana niachie moyo wangu

    Akija kukuomba msamaha usifanye maamuzi yeyote ukiwa na nyege piga kwanza punyeto ndio umsikilize sawa mkuu ?
  3. ujoka

    Wahuni si watu wazuri wamemharibia ndoa Ally Kamwe

    Ukiweka private life mtandaoni usiwalaumu wanamtandao, maana hawajawahi kuwa wema kama sepetu
  4. ujoka

    Wanawake wa kimarekani wengi ni kisanga aaah, natamani kuachana nae ila nahofia divorce itanifilisi

    Usimuonyeshe dalili ya talalaka we jidai uanze kufanya onvestiments hata kupitia majina ya mtu unayemuamini then hizo assets zenu zichukulini mikopo halafu usilipe mpaka mpaka mje mfilisiwe after that omba talaka uanze upya ila kama umezaa nae hilo kimba lako huliachi 😀😀
  5. ujoka

    VIDEO: Huko Mauritania bado kuna biashara ya kichini chini ya kuuza watumwa

    Mada mezani ni utumwa mauritania tuweke masuala ya biblia pembeni
  6. ujoka

    Huyu kijana Charlie Kirk alikuwa shujaa wa nini huko Marekani mpaka anapewa heshima ya kuzikwa kijeshi na serikali ya Trump?

    K unaweza kuhisi mtu anaupeo mdogo mno ila ukimchunguza vizuri unagundua hana upeo kabisa anatumia upeo wa wengine ,amenishangaza sana kiongoz
  7. ujoka

    Mlinzi wa Rais Samia aanguka ghafla wakati wa kampeni Mbalizi, Mbeya

    JK alikuaga muungwana sana yeye alikuaga anajiangukiaga tu mwenyewe alaf mzee yahaya anamuongezea ulinzi wa jadi
  8. ujoka

    Natafuta mdada ambaye jimbo lipo wazi mwenye lifestyle kama hii yangu

    Mbona wewe ujasemà kama mrefu alafu mweupe au wao wataangalia hela tu?
  9. ujoka

    Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    Ukiona mtu yuko state anastrago na hataki kurud home , ni kwamba mwana anajua akitoka huko kurudi ndio nitolee pia anarudije bongo na yuko pumbu amekaa miaka kibao huko jamaa inajua katoboa wahuni wanaona bora lawama kuliko fedheha bora wawe tu homeless kuliko kufanywa mfano
  10. ujoka

    Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    Mtego wa madeni mpaka uwe na social security number credit card haitok tu kienyeji hao illigal aliens wanaish basement kwa wana ni kwamba hata kupanga chumba hawaruhusiwi achen kutisha watu US kwa mtu alieish maisha magumu bongo uko ni kitonga sana labda utake kuishi kama kina puffy dady...
  11. ujoka

    Mapepo, Maruani na Majini: Uhalisia au Hadithi?

    So unataka vitu vya kiroho vijibiwe kisayansi
  12. ujoka

    Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    haya subiria daddy atumie hela ya burger duttybway
  13. ujoka

    Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    Unahis upo uko peke yako huku mtoto wa mama unatumiwa poket money na wazee acha mbwembwe ongea na mabro vizuri upewe michongo unadhan ni hekima kukaa Harlem kwa mtu aliekuja kujitafuta marekan labda kama umekuja kufanya uhalifu au umekuja kusoma kukaa new york kwa mpiganaji ni kosa kubwa sana
  14. ujoka

    Usikurupuke Kuja Marekani Kama Huna Ramani – Hii Game Ni Ya Waso Ramani Tu!

    Mwamba amenishangaza sana yaan ulipe usd 1200 rent basement alafu ukose one way ticket ya kurud bongo kweli ccm wanatudharau sana
  15. ujoka

    TANZIA Sheikh Rashid Njuki afariki dunia. Inadaiwa alisomewa Albadil

    Hii ndio sababu tunatakiwa sana tuombee biashara zetu na familia zetu kuna majamaa hata hatuyajui yanatukalia kamati tusande,
Back
Top Bottom