Recent content by ujoka

  1. ujoka

    JamiiForums Tanzania Hivi dunia ina historia ya kuwa na raisi kichaa kama trumpa??? Afu sasa anajificha na kuzungukwa na silaha akihofia kuuliwa na muajemi afu domokaya

    Hahaha asee ushabiki ukizidi logic na common sense huacha kufanyakaz kinachofuatia ni utahira
  2. ujoka

    JamiiForums Tanzania Anachofanyiwa coy mzungu na comedian aliowapa nafasi kwenye platform yake ni ishara ya tenda wema nenda zako

    Nilimsikia mzee mush alikua ha1ipwi halafu waligombana alipoitwa kufanya ya mpinzan wa coy ambaye alikua analipa maana yake anakuhold wewe kama personal brand yake halafu hakulipi uo ni ukenge nao
  3. ujoka

    JamiiForums Tanzania Anachofanyiwa coy mzungu na comedian aliowapa nafasi kwenye platform yake ni ishara ya tenda wema nenda zako

    Huo msaada unaoungelea hapo ndio uo aliokua analalamikiwa na Ruge Mutahaba watu waimbe kwenye fiesta kwa malipo ya supra na midosho ya kupandia stejini eti anawapa exposure yeye anasunda kibunda plus mashart usifanye show za wapinzani wake ata kama zina faranga yakueleweka, huo ni uboya Aweke...
  4. ujoka

    JamiiForums Tanzania Uliwahi kopa hela kwenye app za online, ilikuwaje?

    Wakikukosa wanakuchoresha wana access na phonebook yako wajinga wanasomq hadi msg zako pia wana access na gallery yako sema kibongo bongo wanaruhusiwa tu kutumia phone book yako watawqpigia adi maaskofu wako kisa sabini elfu
  5. ujoka

    JamiiForums Tanzania Mateso ya Wanyama wanaovalishwa gari unguja (Punda na Ng'ombe)

    Maliasili hawahusiki na wanyama wakufugwa
  6. ujoka

    JamiiForums Tanzania MIJI ILIYODUMAA TANZANIA

    Tabora umeenda lin mara ya mwisho mkuu?
  7. ujoka

    JamiiForums Tanzania Ni mashirika gani ya Umma hayana tija yanafaa kufutwa

    Laiti ungalijua bila TMA ndege haziruki wala hazitui usingaliandika huu ugoro
  8. ujoka

    JamiiForums Tanzania Polisi adaiwa kumkodi Bodaboda na kukataa kumlipa baada ya kumzungusha kwa saa 1

    Serikali imeng'ata dole la boda
  9. ujoka

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Naelewa maumivu yenu wazee wangu mimi by professional nina degree ya utalii nikiangaliaga mapimbi wenye tuvyeti tudogo wanavyopiga hela kwenye tasnia nataman na sisi wapigwe pin lesen zitolewe kwa wenye degree tu hapo ndio kipengere cha roho mbaya kinapoanzia
  10. ujoka

    JamiiForums Tanzania Mawakili zaidi ya 390 wa Tanzania Bara Hatarini Kupoteza Uwakili wao

    Roho mbaya ni kipengere sana
  11. ujoka

    JamiiForums Tanzania UEFA yakataa ombi la msamaha la Infantino, yasisitiza mpango wa kususia kombe la dunia upo palepale

    Fifa bila UEFA nisawa na NATO bila USA
  12. ujoka

    JamiiForums Tanzania P-SQUARE SAGA: PETER OKOYE AFUNGUKA KILA KITU — FEDHA, JUDE, PAUL, EFCC, NYUMBA, NA MIGOGORO YA FAMILIA

    Yule waziri wa maji sudan mkuu?
  13. ujoka

    JamiiForums Tanzania Inasemakana Masakuu Mbagala kuna laana isiyo kifani kitambaa cheupe ikasome. Je ni ya kweli hayo?

    Unajua gharama ya kukesha unalewa jobless hawez ku afford
  14. ujoka

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Tumeamua kuwashirikisha wenzetu kutoka Uganda na Namibia kupata muono mpana. Tume inakwenda kutafuta nani walichochea, waliotoa fedha

    Hii ndio ile vitoto vya toktok husemaga "Aibu utaona wewe "
  15. ujoka

    JamiiForums Tanzania Nini kinasababisha wanaume kukimbia familia zao?

    But mi cyaan seh nutten 'Cause mi know mi ah one
Back
Top Bottom