Nilimsikia mzee mush alikua ha1ipwi halafu waligombana alipoitwa kufanya ya mpinzan wa coy ambaye alikua analipa maana yake anakuhold wewe kama personal brand yake halafu hakulipi uo ni ukenge nao
Huo msaada unaoungelea hapo ndio uo aliokua analalamikiwa na Ruge Mutahaba watu waimbe kwenye fiesta kwa malipo ya supra na midosho ya kupandia stejini eti anawapa exposure yeye anasunda kibunda plus mashart usifanye show za wapinzani wake ata kama zina faranga yakueleweka, huo ni uboya
Aweke...
Wakikukosa wanakuchoresha wana access na phonebook yako wajinga wanasomq hadi msg zako pia wana access na gallery yako sema kibongo bongo wanaruhusiwa tu kutumia phone book yako watawqpigia adi maaskofu wako kisa sabini elfu
Naelewa maumivu yenu wazee wangu mimi by professional nina degree ya utalii nikiangaliaga mapimbi wenye tuvyeti tudogo wanavyopiga hela kwenye tasnia nataman na sisi wapigwe pin lesen zitolewe kwa wenye degree tu hapo ndio kipengere cha roho mbaya kinapoanzia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.