Hii inaitwa aibu utaona wewe yaan loser mmoja wa mitandaoni anambeza professor ambaye amewah kua top boss kwenye moja ya shirika la umoja wa mataifa vijana wa aina yenu mna mchango mdogo sana katika taifa
Lait wangelijua kuna wakenya wamejazana kwenye mahotel na mashule apa bongo na hawana working permit nilichojifunza watu ambao hawajawah kutoka nje ya nchi zao ndio wenyechuki na wagen wanahis paradise ni kwao tu
Askar wa jesh la wananchi ndio alienda kumuokoa trafik dhidi ya kipigo kutoka kwa daktari mzalendo akuna mwananchi anaweza kumsaidia askari polis kwa sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.