kuna mwamba alikua likizo kikaz akaenda bush kwao network chenga mkewe akamtengenezea chet cha kifo akapeleka kazin akavuta stahiki za kiongozi alafu akaolewa na mvuta bange wake wakat anasubiria taratibu za mirathi ndio mwamba anarudi anaonekana kama mzimu 😁😁😁
afisa usafirishaji ndio alikua anapaa kwa physics yangu ya form 3 gari ingekua nduki io boda isingekua hapo angalau leo nimepata pakuelezea masuala ya inelastic and elastic collisions 😁
hata mabaharia wetu enzi zile wanazamia walikua wanauza chochote home wapate fungu la safar haimaanishi walipotoka kulikua na neema kisa wana hela ya kuhonga njiani
kuna mchezaji mmoja alikua bubu kati ya simba, yanga au milambo ya tabora alikua anapiga mashut balaa alishawah kupindisha mwamba wa goli kwa shuti lake pia alisha wahi kutoa mpira nje ya stadium mara kadhaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.