Recent content by Uhumbwe

  1. Uhumbwe

    Je, Wanajeshi wa Tanzania wameukataa uchaguzi au ni Maigizo?

    Naomba Mwenye Kujua Wabunge Waliopita wa Upinzani
  2. Uhumbwe

    Tesha ni kanjanja tu hakunaga mwanajeshi wa hivi JWTZ

    Mbona amejitambulisha kuwa Kaimu Msemaji wa Jeshi
  3. Uhumbwe

    Je, Wanajeshi wa Tanzania wameukataa uchaguzi au ni Maigizo?

    Huyu kacopy toka kwa polepole na ujinga ulimjia kichwani kuamini kuwa anaweza kuongea vile.. wenzake wapo nje ya Nchi akina Maria, Polepole Sativa sasa wewe unakaa Ukonga unaongea halafu unasema Jeshi Jeshi Jeshi.....
  4. Uhumbwe

    Tesha ni kanjanja tu hakunaga mwanajeshi wa hivi JWTZ

    Shida yangu kubwa ni ujinga wa wengi wanaoamini kuwa Kupitia Maandamano watapata maendeleo. Mimi najifunza kutoka Libya, Sudan hadi leo hakuna tena maendeleo bali, mfano unaingia barabarani kudai nini?
  5. Uhumbwe

    Tukio la kupatwa kwa mwezi ni miongoni mwa dalili za kutokea kwa Mungu kufikia mwisho wa dunia

    “Hakika jua na mwezi ni miongoni mwa alama za Allah, havipatwi kwa kufa au kuzaliwa mtu, bali Allah huwafanya hivyo ili kuwatisha waja wake. Basi mtakapoviona, kimbilieni kutaja dhikri ya Allah, dua na kuswali.”
  6. Uhumbwe

    Yanga ni team ya pili kwa thamani Afrika baada ya Al Ahly

    Thamani ya Club inahesabiwa nini
  7. Uhumbwe

    Huu upweke unaniathiri sana akili mpaka nayakatia tamaa maisha

    Tafuta ela acha uzembe Aiseee hakuna manzi anakataa mbele ya chakula
  8. Uhumbwe

    Mbinu mpya ya ombaomba

    Wanapiga Kelele Sana, Pia Kuna Wengine Wanatumia Spika Za Kuuzia Dawa Ya Panya Wanarecord Sauti Tu Wao Wametulia Sio Kirahisi Vile Aiseeeee
  9. Uhumbwe

    Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

    Kwa upande wako ni sawa lakini kikanuni mpina amekosea Hivyo tupime kote je alipaswa kufanya Press Kweli?
  10. Uhumbwe

    Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

    Jibu la kwanza ndio nimelipokea
  11. Uhumbwe

    Sakata la Mpina na Waziri Bashe, nilivyoelewa kwa Lugha Rahisi

    Hawalazimishi bali Kanuni ndio zinambana Mpina, ni sawa wewe uwe mgombea halafu ujitangazie matokea ya Kura Mapema Kabla ya Tume,, Mpina Hakupaswa kuja kwa Media angetulia kwanza
Back
Top Bottom