Recent content by Uhumbwe

  1. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Kuinusuru CHADEMA kisiasa, Heche, Lema na Sugu wabanduliwe uongozini ili kukipa chama pumzi na uelekeo mpya kisiasa

    Shida kubwa ya chadema ni kuamini wapo smart kwa 100% which are wrong. Pia kuamini wanaweza kuleta mageuzi nchi hii wao kama wao tu,, Imani kwamba kuanzia juu ni rahisi huku kukosa akili wanatakiwa kuanza chini kabisa kujenga na kuvuna wananchi... Waache kula michangooooo
  2. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Chadema hawajui wanataka nini

    Tanganyika ndio wapi? Ivi wewe kwa Akili zako nani ananufaika na Muungano
  3. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Hongera waTanzania wote kwa kupuuza wito wa maandamano haramu yaliyoitishwa na maadui wa amani ya taifa letu kupitia CHADEMA

    Hakika ni jambo jema sana maana waliokuwa wanahamasisha wapo nje wanakula maisha
  4. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Serekali yetu ni lazima itafute,ishughulikie vyanzo vyote vinavyoanzisha maandamano

    Kwanza Wakifute Chadema maana ndio kikundi cha wajinga wengi waliofika shule na Vyuo
  5. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa maandamano 7/7

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  6. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu wa maandamano 7/7

    Achana na maandamano mzee fanya kibarua chako pata unga kale na wanao hilo ndio fungu lako kutoka kwa mola wako... siasa na biashara hapo wanasubiri wewe ufe halafu wanasiasa waitane Ikulu kujadili namna ya kula keki ya taifa baada ya wewe kufa
  7. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Chadema hawajui wanataka nini

    1. Mara nyingi huwa najiuliza hivi kweli chadema wanajua wanataka nini? Mara nyingi wamekuwa wanachagua njia yenye miba sana kwa wafuasi wao ili wakijichoma wao wapige kelele 2. Kwanza lazima wakubali Nchi ina Uongozi kwahiyo kuheshimu mamlaka ni lazima sio hiyari..... maana mwisho wanaoteseka...
  8. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Huwa najiuliza, Michael Scofield ilikuwaje akawa shoga?

    😂😂😂😂😂😂
  9. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania KERO Natakiwa kulipwa Milioni 7 ya NSSF, nimepewa 198,000, nyingine hadi mwaka upite, wanajua kesho yangu?

    Lakini hizi Taasisi lazima ziwe na sheria na kanuni zake separated... maana hizi ni pesa zake mtu sio hisani
  10. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Mbunge Kitima: Kijiji ninapotoka hakuna Mawasiliano nikienda ziara nipo gizani, nalazimika kulala mjini

    Lala kijijini kwetu kwani lazima uwe na mawasiliano mzee 😂😂😂
  11. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Pacome, Kitima na Warioba wametembelewa

    Mother alienda kumuona mzazi Othuman Masoud Makamu wa 1 smz aliyemaluza muda wake...
  12. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Je, Wanajeshi wa Tanzania wameukataa uchaguzi au ni Maigizo?

    Naomba Mwenye Kujua Wabunge Waliopita wa Upinzani
  13. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Tesha ni kanjanja tu hakunaga mwanajeshi wa hivi JWTZ

    Mbona amejitambulisha kuwa Kaimu Msemaji wa Jeshi
  14. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Chaji simu yako, weka bando na usilale. Magari mengi yanaelekea kwenye makazi ya CDF muda huu. Tesha's effect is really

    Hata sasa tumelala na tumeamka Alhamdulillah hayo Magari yako wapi
  15. Uhumbwe

    JamiiForums Tanzania Je, Wanajeshi wa Tanzania wameukataa uchaguzi au ni Maigizo?

    Huyu kacopy toka kwa polepole na ujinga ulimjia kichwani kuamini kuwa anaweza kuongea vile.. wenzake wapo nje ya Nchi akina Maria, Polepole Sativa sasa wewe unakaa Ukonga unaongea halafu unasema Jeshi Jeshi Jeshi.....
Back
Top Bottom