Huyu kacopy toka kwa polepole na ujinga ulimjia kichwani kuamini kuwa anaweza kuongea vile.. wenzake wapo nje ya Nchi akina Maria, Polepole Sativa sasa wewe unakaa Ukonga unaongea halafu unasema Jeshi Jeshi Jeshi.....
Shida yangu kubwa ni ujinga wa wengi wanaoamini kuwa Kupitia Maandamano watapata maendeleo. Mimi najifunza kutoka Libya, Sudan hadi leo hakuna tena maendeleo bali, mfano unaingia barabarani kudai nini?
“Hakika jua na mwezi ni miongoni mwa alama za Allah, havipatwi kwa kufa au kuzaliwa mtu, bali Allah huwafanya hivyo ili kuwatisha waja wake. Basi mtakapoviona, kimbilieni kutaja dhikri ya Allah, dua na kuswali.”
Hawalazimishi bali Kanuni ndio zinambana Mpina, ni sawa wewe uwe mgombea halafu ujitangazie matokea ya Kura Mapema Kabla ya Tume,, Mpina Hakupaswa kuja kwa Media angetulia kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.