kwa jinsi navyoiona hiyo nyumba ilivyo karibu na hiyo nguzo sijui ni ya simu au ni ya umeme ,ni bora ukatoa full details kuhusu hiyo nyumba kama iko kwenye mpango wa mji au la ,ukubwa wa eneo at least tujiridhishe kabla ya kufika sehemu iliyopo hiyo nyumba.
upeo wako wa akili unaonekana ni mdogo sana ! RAIS ni kiongozi wa watu ambao waliomchagua , sasa kuna ubaya gani akitatua migogoro ya wananchi wake direct .Tatizo lenu miisha zoea urasimu mwingi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.