Huyu ni Prof Kabudi mjumbe wa Tume ya Marekebisho ya Katiba iliyoongozwa na Jaji Warioba Alitambua umuhimu wa vyama vingi, uhuru wa kujieleza na maoni ya walio wa chache. Leo anasema tukae kimya kama tukishindwa kusifia serikali? Acha siku iishe tu
[https://abs-0]
[https://abs-0]
Sent...
Tanzania tupo vizuri.
Ikitokea kama ya kenya, tutakamata hadi bodaboda mwenye ndevu nyingi, kijana mchafu, asiye na kitambulisho cha utaifa aliyekuwepo hapo,mpita njia asiyejielewa, etc
Yani tungewashika zaidi ya watu 70 wanaosadikika kuhusika then segereaa kutoka kama uamsho.
Sent using Jamii...
*BAD NEWS*
Vichwa vitatu vimekutwa kwenye begi, Hii imetokea hapa maeneo ya Chukwani leo, wasichana wawili walichukua tax toka Darajani kuelekea Chukwani basi mara dereva akahisi harufu kali akawaona polic wawil barabaran akasimama ili hayo mabeg mawil ya hao wasichana yasachiwe, polis...
1. Njombe UKIMWI sio kitu cha ajabu
2. Arusha kama huna meno ya dhahabu unatengwa.
3. Manyara usipoua Simba we shoga.
4. Mara mke akiwa hapigwi anaomba talaka.
5. Mwanza mtoto mchanga wa siku moja anapewa ugali sio maziwa.
6. Kagera huko hata barabara ya vumbi wanaita fly over.
7. Kigoma...
Unakumbuka Tarehe na Mwezi Kama Wa Jana Mnamo Mwaka 1961 Lt. Alexander Gwembe Nyirenda Ndio Alikua Mzalendo Wa Kwanza Kupandisha Bendera Ya Tanganyika Juu Ya Mlima KILIMANJARO Miaka 57 Iliyopita..
..........................................................................
It is the first death...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.