Dk. Ally Yahaya Simba aliteuliwa kuwa
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya
Mawasiliano Tanzania (TCRA) Julai
2015. Kabla ya uteuzi huo, Dk. Simba
alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Teknolojia
ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA)
Wizara ya Mawasiliano, Sayansi na
Teknolojia tangu Agosti 2013. Dk. Simba
ana uzoefu...
CRDB na NMB mikopo kwa watumishi ni asilimia 18 kwa mwaka..ukichukua milion kumi kwa miaka mitano utarejesha sh milion kumi na nne..kwa mwez watakukata wastani wa sh laki mbili na nusu.
waraka wa wakristo hauna tija kwa taifaa, ungekuwa waraka wa wananchi wote ingekuwa poa...sisi tusio wakristo hatujui content wa hizo nyaraka zinazosomwa makanisani.
Rasimu ya Katiba yaendelea kuchanwa chanwa na MA CCM baada ya kukataa elimu ya kidato cha nne kwa wabunge. Najiuliza wana fanya hivi ili kuwabeba wakina LUSINDE walioishia darasa la saba au wanataka serikali ipitishe mambo wanayo yataka kwa urahisi bungeni..sasa hivi hata kazi ya ulinzi...
itabidi tu question masters yake, baada aungane na wanaharakati kupambana na mafisadi wa ccm yeye anapeleka njaa zake kwa magamba kina mwigulu mchumba... Jitambue nick.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.