OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,525
Ofisi ya bunge wamepunguza ngapi???!!!
Usanii tu aliweza kuchota mabilion 26 hazina atashindwa kuongeza
Rais anaongoza kwa kuwa na safari zisizo na tija kwa nchi.Watumishi wengine itakuaje?na pesa nyingi zinaibiwa ofisi ya membe tiketi bei mara 6 ya bei halisiKamati ya bajeti ambayo inayongozwa na mwanasheria mkuu mstaafu Andrew Chenge imepunguza bilioni 11 kutoka kwenye bajeti za safari za Rais kwa mwaka wa fedha ujao.Fedha hizo zitatumika kwenye miradi ya maendeleo.
Mwaka wa fedha ambao unaelekea kuisha Rais alitengewa bilioni 50 kwa ajili ya safari japo ndani ya miezi 2 zilikuwa tayari zimeshatumika.
Kwa hiyo mwaka ujao wa fedha ametengewa bilioni 39 kutoka bilioni 50
==========================================
Chanzo: Nipashe
Umenena kweli mkuu!Hadi hapo Bunge liwe na nguvu kudhibiti hela HAZINA ndiyo uchotaji utakoma!
Rais wa TZ ni Mungu-Mtu ana nguvu kisheria kuchukua hela yyt BOT na huwa inafanywa hivyo!
Usanii tu aliweza kuchota mabilion 26 hazina atashindwa kuongeza
Candid Scope billion 50 kwa ajili ya safari tuu na anasa huku budget za wizara zikiwa hata nusu yake hazikufikiwa ila fungu lake la safari hazikupungua hata shs moja
Mbaya zaidi mwaka huu alitengewa bilioni 15, lakini yeye katumia zaidi billion 50, hizi ametichukua toka wapi bila idhini bunge?
Mbona wamechelewa sana, Ila wasiishie tu kwa safari za Rais tu, wapunguze mpaka kwenye safari za mawaziri.