Recent content by Ubavu

  1. Ubavu

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mama alai. Nilimwekea Angola ashinde first half livebet nimeona amepata red card nikabet tena Namibia ashinde first half, nao wamezingua nimekuja kula mkeka wa kwanza ule wa pili nimeliwa.[emoji2957][emoji2957][emoji2957]
  2. Ubavu

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Kuna nyimbo naitafuta ni mtindo wa chakacha nadhani msanii ni wa kutoka kenya. Niliusikia miaka ya 90s mwishoni. Muimbaji ni mdada. Maneno ninayo yakumbuka kwenye wimbo huo ni "Chakacha ndio kipaji changu"
  3. Ubavu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mzee stuka! Unachat na mumewe!
  4. Ubavu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Limewiva biu biu[emoji23][emoji23][emoji23]
  5. Ubavu

    Nilioa kwa sababu ya huruma kwa mama mtoto wangu

    Acha ufala wewe.. mwanaume huwezi kuwa na viemotion kama mwanamke. Kama demu anakupenda unataka nini zaidi ya kula mzigo na kulea mtoto. Tulia na mkeo maana hayo ndo maamuzi yako na ni chaguo lako..
  6. Ubavu

    Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

    Mkuu, huyo demu hakupendi, sikiliza maneno ya rafiki yako. Just kula mzigo then move on. Huyo demu anajifanya kukutafuta kipindi hiki kwasababu mapenzi aliyoinvest miaka hiyo yaliishia shimoni. Believe me, atakusumbua sana ukimpa moyo wako. Kwasasa hana cha kufanya kwasababu hana mtu wa maana...
  7. Ubavu

    Ulishawahi kumwingiza Demu getto zaidi ya mara moja na ukashindwa kula tunda?

    Sinaga mchezo kwenye kazi, demu asiyetaka namjua na anayetaka namju. Nikijua wewe NI sitaki nataka navaa sure ya kibandidu!
  8. Ubavu

    Kwanini watu wanakimbilia kugombania kushika jeneza wakati wa kuzika

    Babumawe issue ni kumsindikiza ndugu yetu kwenye nyumba yake ya milele. Kusindikiza kwa uzuri ni kushiriki kwenye kulipeleka jeneza na kusaidia kufukia. Watu hukimbilia jeneza na kung'ang'ania beleshi ni ile hali tu ya kibinaadam maana watu ni wengi jeneza ni dogo na hata hizo beleshi huwa ni...
  9. Ubavu

    Nilimtongoza akakataa, nikamtongoza Best Friend yake akanikubali. Sasa imekuwa Nongwa

    Hehehehe imemuuma mwenzie kuliwa papa.. yeye alikuwa anajifikirisha mwenzie katumia fursa.. Safi sana kijana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Ubavu

    JamiiForums Usiku wa manane

    Yooh (in Ali Kibas voice)
  11. Ubavu

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Nipo na mwanangu tunatoka Iringa kikazi tunarud zetu Mbeya tunapokaa. Tumesubiria gari za kutoka Dar pale maeneo ya stand ya Igumbiro mpaka mida ya saa kumi gari hola! Wale majamaa wa kukata tiketi ilj wapate cha juu wakawa wanatuzonga zonga ilimradi wapate chochote kupitia tiket tutakazo kata...
Back
Top Bottom