Recent content by Tzr786

  1. Tzr786

    Natafuta kazi ya Logistics and Transport

    Shukrani sana mkuu
  2. Tzr786

    Natafuta kazi ya Logistics and Transport

    Habari za muda wadau wa JF, Kwa majina naitwa xxxx nimefanya nikiwa kama Loading supervisor kwenye kampuni ya usafirishaji kwa miaka miwili na nusu ila kwa sasa sina kazi. Elimu - Diploma in Logistics and Transport management kutoka Chuo cha usafirishaji (N.I.T), Plus - Certificates in...
  3. Tzr786

    Gari toyota rav 4 killtime inavibrate usukani

    Kwenye Engine mounting kuna bush, zitakuwa zimekwisha na vibration inakuja ikiwa silence
  4. Tzr786

    GE2020 Special Thread: Taarifa za Kampeni za mgombea Urais kupitia CHADEMA, Tundu Lissu na Salum Mwalimu

    Namuona T.L anaweza akawachachafya CCM 2025 Lakini sio kipindi hichi cha JPM, wao ngoj tuna macho na masikio aliyoyafanya JPM kipindi cha mpaka mitano vinaonekana itakuwepo ngumu kwa T.L kushinda uraisi Katika awamu yake.
  5. Tzr786

    Natafuta kazi inayohusiana na Logistics and Transport

    Habari wana JF wa jamvi hili la Ajira. Nina diploma ya Logistics and Transport Management kutoka katika chuo cha usafirishaji (N.I.T), plus Microcomputer course kutoka University of Dar es salaam (U.C.C). Nina experience ya miaka miwili kusimamia magari na madereva, nina skills za kutosha...
  6. Tzr786

    Uandishi huu wa message au ujumbe mfupi wa maneno unakera

    Kishaoza huyo Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Tzr786

    Sema ukweli wako, ukiona Tsh. 50 mbele yako unaiokota au utaipita kama hujaiona?

    Binafsi nauli ya kwenda kazin toka Machinga Complex to Kigamboni ni Tsh 450 kwahiyo kwangu Tsh 50 ni deal. Siwezi kuichukulia poa Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Tzr786

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    Daah jamaa wamekukumbusha mbali . Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Tzr786

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    Design familia ilikuwa na chembechembe za u primitive. Maana vibaba vitatu vimeondoka Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Tzr786

    Salim Kikeke Mungu akulinde, umeionyesha dunia udhaifu mkubwa wa serikali ya Rais John Pombe Magufuli

    Cha Msingi ni kumuomba Mungu tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Tzr786

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Mkuu naomba unisaidie kupata hata old version ya game hii nipo magomeni
  12. Tzr786

    Natafuta semi trucks KICHANJA za kunipelekea mzigo wangu Kigoma

    Mzigo gani na rate zako zikoje per ton?
Back
Top Bottom