Recent content by tznchiyangu

  1. T

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Upendo kwa Arsenal FC waja kabla ya dini, siasa, pombe, sigara, mchepuko etc etc... C O Y G..💪✊🤙☝️
  2. T

    Kutunza kwa kutupa pesa chini ni kosa, waweza kukamatwa - Profesa Kabudi

    Acha tu, hata nyumbani kwetu tunajadiliwa na kupondwa, na tunajirekebisha na hata kuomba msamaha, wao duh, tusifie vitu tu hata wakiboronga..tumechoka..
  3. T

    Mshtuko: Kumbe Mikoa ya Morogoro na Katavi kuna Wasukuma?

    Sasa ukitukuta huko ni dhambi mkuu?! Mbona kuanzia Mwanza, Shinyanga na hata Tabora kuna makabila kama yote na hatulalamiki?! Haya boss..
  4. T

    Nchi inakoelekea kunatisha

    Acha tu, 4 trilioni na upuku puku pensheni za wafanyakazi zimeliwa na dola, mandege yasiyo na faida kwa wengi na tunalzimishwa kusherekea huku kumtua ndoo ya maji mama hatujafanikiwa, masafari ya ndege kama yote kwa viongozi kama washamba, kukatika kwa maji na umeme kwa kwenda mbele, kurudishwa...
  5. T

    Rihanna amuongezea umaarufu Flaviana Matata

    Bado chakula ya watu huko, anahangaika tu, ila tukubali kwetu yuko level ya juu, hapo lazima apate sifa zake..
  6. T

    Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

    Vicky Kamata huyu huyu aliyekuwa akipokea mshahara wa bure bila kufanya kazi BOT?! Au Zitto Kabwe mnafiki na kikaragosi wa mabeberu?! Kweli usirushe mawe kwenye nyumba ya glass wakati nawe waishi kwenye nyumba kama hiyo..
  7. T

    Mrembo namba moja nchini(Diva-Loveness-Love) atokwa na machozi baada ya kushuhudia wananchi wakigombania daladala

    stupid, arrogant, illiterate, spoilt, silly, foolish, utopia life, comedian....
  8. T

    Kuku wa kienyeji toka Handeni; Tanga

    Wale wale wababishaji tu...
  9. T

    Kuku wa kienyeji kutoka Singida wanauzwa

    Hamna biashara hapo, mbabaishaji tu,,,
  10. T

    Tunatengeneza garden/bustani nzuri zinazovutia kama hizi

    Yale yale ya kinyozi, hawana bei, wanakutazama ulivyo na kukubambika bei zao za ajabu?! Mzungu, Mchina bei zipo pale, hakuna ubishi wala nini, au supermarkets zinazojielewa...
  11. T

    Taulo la Kaseja lazua balaa Mbeya

    Yamaanisha tutachukuwa muda sana, karne na karne kufika kombe la dunia kwa mwendo huu, ujinga na upuuzi usio kifani kwa imani hizi..
  12. T

    Waliochapwa na DC Arusha na kulazimishwa kulipa fedha bila kufikishwa mahakamani waombe msaada wa kisheria kumshtaki DC

    Sisi tulisoma enzi zetu, tena tulitunza madarasa, mabweni, maktaba na hata kusafisha bwalo na vyoo... Sasa wa siku hizi LAZIMA WAIBE AU KUCHOMA MOTO?! Halafu watu wanadai wapewe haki?! Ndorobo kabisa, wafanyiwe kazi kama wale waliochoma kituo cha polisi labda wanafunzi watapata adabu...
  13. T

    Magazeti ya Nipashe na Mwananchi yapewa onyo na serikali juu ya uandishi wa habari za bomoabomoa Kimara

    Kinachonishangaza, mtu kajenga nyumba ya mabilioni au mamilioni, hapo hajakanyaga Wizara ya Ardhi au Wilayani hata siku moja, kuuliza kama pale panatolewa hati miliki, kama panafaa kwa ujenzi na hakuna miundo mbinu inapita?! Ni uzuzu wa hali ya juu.. Tunakuja mtu ananunua vyeti, anafoji...
Back
Top Bottom