Leo wakati akikagua machinjio ya Vingunguti amesema maji na uchafu wote unaotoka hapo machinjioni yaelekezwe kwenye mifereji maalum hadi mtoni.
Swali ni mto gani huo utakaokuwa unapokea huo uchafu?
Pia hatuna teknologia ya kushughulika na huu uchafu badala ya kuutupa mtoni ambapo watoto wetu...
USIOGOPE. AKIFUNGUA KAMPUNI AU BIASHARA KWA JINA LAKO NI YEYE NDIO ANAJIWEKA HATARINI. IPO SIKU UTAKUJA KUMNYANG'ANYA KAMPUNI ABAKI MDOMO WAZI. UZURI WEWE SIO MCHAGA NDIO MAANA KAKUAMINI.
HATA AKIFILISIKA HAO WATU WATAKUPATA WAPI? WAKIJA SUMBAWANGA HAWAKUKUTI KUMBE UPO ZAKO MBELE HUKO. ISHI KWA...
Atafilisiwa kitu gani dogo hana hata mia? Dogo msikilize bosi wako huyo ndio anakuweka mjini.
Haina madhara yoyote. Mimi kuna kiNGO nilianzisha kwenye katiba na minutes za kikao huwa naandika ndugu zangu na rafiki zangu hadi sahihi zao naweka na wao wanajua na hawana noma wala nini.
Bongo ni...
Wewe mvaa vipedo tafuta chakula cha familia yako. Mambo ya Hamas waachie wenyewe.
Tulia lea ndoa yako na mumeo. Hamas na Israel waache wamalizane. Ila kuwapa kichwa Hamas ni kuwatafutia matatizo zaidi. Watapewa kiminyo hadi waombe poo
Toa upumbavu wako hapa. Wale waliompa Magufuli tuzo ya kuishinda Corona? Walijisikiaje Corona ilipomuondoa? Au kwa sababu watu walitumia hekima tu kusema ni ugonjwa wa moyo?
Mimi na MAGUFULI ni kitu kimoja.
Wote sisi ni wezi wa kura na tusiotaka kuwapa watanzania haki yao ya kuamua.... "aliongea ustaadhati mmoja akiwa ndani ya mfungo na hijabu kubwa"....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.