Je, nani yupo nyuma ya Hamas?

Morogoro kaskazini

JF-Expert Member
Jul 5, 2020
2,185
8,453
img_1_1620768836061.jpg


img_1_1620774878743.jpg


Ukiangalia vita ya israel na hamas miaka iliyopita ni tofauti na mwaka huu. Miaka ya nyuma hamas hamas walikuwa wanarusha mpaka roketi 300 kwa mpigo mmoja na rocket zote zinatungulia bila kuleta uharibifu wowote ule.

Lakini mwaka huu mambo yamebadilika sana yaani kila roketi zikirushwa lazima ziuwe mtu na damage kubwa za mali za umma mpaka sasa vituo vya umeme vingi vimehabiwa vituo vya kusafisha mafuta na kuhifadhi gas uwanja wa ndege wa ben gurio kipigo kimeifanya israel kufanya mashambulizi makali dhidi ya majengo marefu huko gaza kwa kisingizio kuwa yanatumiwa na hamas.

Je uwezo huu wa roket zinazotumiwa na hamas umetoka wapi nani yupo nyuma yao nyinyi mtakuwa mashaid juzi kamanda wa hamas alisema kuishambulia israel ni rahis kama kudrink maji

img_1_1621107894367.jpg
img_2_1621092233389.jpg
 
View attachment 1786862

View attachment 1786864

Ukiangalia vita ya israel na hamas miaka iliyopita ni tofauti na mwaka huu. Miaka ya nyuma hamas hamas walikuwa wanarusha mpaka roketi 300 kwa mpigo mmoja na rocket zote zinatungulia bila kuleta uharibifu wowote ule.

Lakini mwaka huu mambo yamebadilika sana yaani kila roketi zikirushwa lazima ziuwe mtu na damage kubwa za mali za umma mpaka sasa vituo vya umeme vingi vimehabiwa vituo vya kusafisha mafuta na kuhifadhi gas uwanja wa ndege wa ben gurio kipigo kimeifanya israel kufanya mashambulizi makali dhidi ya majengo marefu huko gaza kwa kisingizio kuwa yanatumiwa na hamas.

Je uwezo huu wa roket zinazotumiwa na hamas umetoka wapi nani yupo nyuma yao nyinyi mtakuwa mashaid juzi kamanda wa hamas alisema kuishambulia israel ni rahis kama kudrink maji

View attachment 1786858 View attachment 1786861
Mpaka kuwasha moto matairi unauliza nani anahusika??

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
When a free man dies, he loses the pleasure of life. A slave loses his pain. Death is the only freedom a slave knows. That's why he's not afraid of it. That's why we'll win.
 
Mimi najua Mwenyezi Mungu ndio yupo mbele na nyuma ya Hamas.Kwani zamani ameshaahidi hatompa nafasi kushinda dhalimu na kwamba kila anayemtegemea yeye pale anapodhulumiwa basi amshitakie yeye na mwenyewe atajua namna ya kumsaidia mja wake.
Kwa upande mwengine naamini uyasemayo kuhusiana na uharibifu upande wa Israel. Wenyewe wanajuwa kilichowapata ndio maana wamepata kichaa kutokana na maumivu.
Suala la kuingia Gaza kwa askari wa miguu kwa kweli huenda ukawa uamuzi wa kuchanganyikiwa zaidi kwa IsraeL kwa sababu watauwa wapalestina wengi na habari zitaitibua dunia nzima lakini na wao watapoteza maisha wengi sana.
Walipowazuia waislamu wasiswali masjid Aqsa mwezi wa Ramadhani waliona ni kitu cheplesi kwao.Na vile vile kuendelea na mpango wa kuwahamisha wapalestina kutoka eneo la Sheikh Jaraah lililo karibu na Aqsa.Kumbe maamuzi yao hawakujuwa madhara ambayo yangefuatia.
Kuna watu wenye nguvu walitarajiwa wawe nyuma yao lakini wameamua kujificha moja kwa moja na mbali kabisa.Mwenyezi Mungu ndio akawadharau na kuamua kuwa pamoja na wapalestina mwenyewe.
 
Si walishazimwa hao? Nilisoma Uzi mmoja hapa ya kwamba hamasi wote wamefia kwenye mahandaki baada ya kushushiwa vitu vizito vya tani 80 wakiwa wamejificha humo
 
Yaani mda huu israel anajua kuangusha majengo tu wakati hamas wanamimi roket kama hawana akili vizuri
Wewe mvaa vipedo tafuta chakula cha familia yako. Mambo ya Hamas waachie wenyewe.

Tulia lea ndoa yako na mumeo. Hamas na Israel waache wamalizane. Ila kuwapa kichwa Hamas ni kuwatafutia matatizo zaidi. Watapewa kiminyo hadi waombe poo
 
Iran wametangaza rasmi ndio wanawasaidia hamas so hii ni vita ya Iran na Israel cha kushangaza Iran anafurahia huku analalamika
 
Back
Top Bottom