Recent content by Typical

  1. Typical

    TANZIA Mwanamitindo Giorgio Armani afariki Dunia akiwa na umri wa miaka 91

    Doh ila haibadilishi facts kuwa katengeneza ukwasi wa kutosha na katengeneza product na brand nzuri
  2. Typical

    Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    ni sahihi, basi ambatanisha mkataba zaidi ya mmoja, kwa mfano huo wa nest na pia tafutisha mikataba mwingine hata kutoka kwa taasisi binafsi....!!!! Kwa ujumla ivuke hicho kiwango...!!!!
  3. Typical

    Nimepata Tender za Nest na TRA wanakataa kunisajili VAT, je nifanyaje?

    Ukiwa na mkataba wanakusajili bila shida. Anzia kwenye TRA portal kwa kuomba usajili wa VAT na uambatanishe mkataba. Baada ya hapo, nenda ofisini kwao, ukifika omba kuzungumza na meneja.
  4. Typical

    Sinotruck - HOWO (Horses) & CIMC Trailers for Sale

    Hizo bei ni Tax and duty inclusive au?
  5. Typical

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Kozi 9 kwenda juu baada ya mkanda, msingi tofali za kulala kozi tano au sita. Usiweke structure yeyote getini. Kuwe na nguzo mbili tu kwa ajili ya geti kubwa.
  6. Typical

    Unahitaji ushauri juu ya masuala ya ujenzi na gharama zake? Karibu tukuhudumie

    Gharama za kujenga ukuta wa kuzunguka plot yenye urefu mita 60 kwa upana mita 80. Eneo ni Arusha - ungalimited Udongo - juu mfinyanzi, ukichimba kidogo unakutana na udogo wa kawaida Landscape - tambarale naomba bei na idadi ya tofauli, cement, mchanga, kokoto, chuma, mbao, ufundi n.k
  7. Typical

    Kila mtu wa Dar ni tapeli

    Watu wa bukoba mnaongoza kwa utapeli dar
  8. Typical

    GE2025 Kamanda Muliro: Haiwezekani kwa CHADEMA kutekeleza agenda yao ya “No Reforms No Election”

    Kuiongelea ongelea mara kwa mara ni kuipa agenda promo pia
Back
Top Bottom