Recent content by tyc

  1. tyc

    Ningekuwa Rais Samia ningemteua Mbowe kuwa Mbunge usiku huu huu wa tarehe 21 Jan

    Angekuwa hana shida angekaa kwenye uenyekiti muda wote huo wa miaka zaidi ya 18!?? Angekuwa hana njaa angegombea ubunge 2010, 2015 na 2020!??
  2. tyc

    Hii siyo Karma? Na kama ni Karma kiroho ina Ujumbe gani?

    Mkuu, Tusisahau na karma ya Chacha Wangwe nayo inasubiri kujibiwa Usisahau hata Mwenykt wetu Mbowe alipoteza Kaka yake, Lissu alipoteza dada yake Christina, Je vifo vya hawa wapendwa wao vimelipia karma kwa nani!?? Yote kwa yote kifo hutokea kwa kila mtu, hata wewe mleta mada naamini...
  3. tyc

    Picha: Kinachoendelea Furahisha mkutano wa CHADEMA kwa wana Mwanza

    Hii dhana ya kusema Jpm alikuwa akipendelea Wasukuma wenzake mlikuwa mkimaanisha Wasukuma wa mkoa gani!??? Sio nyinyi mliosema kudeka deka kwa Wasukuma kumefika mwisho kisa Godfather wao kafariki, Sasa leo vp tena mnaanza kujibaraguza na kujipendekeza Mwanza na kuanza kukana kauli zenu!??
  4. tyc

    Polisi wengi sana hapa, Kuna taarifa za kiintelejensia nini!!

    Alikamatwa Mbowe huko Mwanza na hakuna mlilolifanya Enzi za JPM walihukuniwa karibu viongozi wote ngazi za juu na hakuna mlilolifanya Utawala wa JK virungu tulitembezewa sana, mabomu ya Olasiti Arusha yakasikika na hakuna kitu tulifanya Acha mkwara mbuzi kijana
  5. tyc

    CCM ya sasa ni ya Kaskazini, Pwani na Unguja

    Kaangalie wajumbe wa NEC ndipo utaelewa nguvu ya CCM imelalalia wapi All in all pamoja na mapungufu yake lakn CCM imebeba taswira haswa ya nchi kwakuwa watendaji ndani ya chama mpaka wajumbe wa NEC wanatoka pande tofauti tofauti za nchi yetu Hili pía lingehamia huku upinzani kwetu Chadema...
  6. tyc

    Chawa wa mama yazinduliwa Rasmi

    Aibu sana mkuu Kwa spidi hii nawashauri kina Erythrocyte, Salary Slip, Mshana jr wajibu mapigo kwakusajili rasmi jumuiya ya chawa wa Mbowe
  7. tyc

    Tundu Lissu, uhai wako ni muhimu kuliko chochote, usije Tanzania kwa sasa, ngoja kwanza

    Chief spy unaemtaja anahusikaje na jaribio la kifo cha Lissu ilhali uteuzi wake ulianza 2019 na ameondoka 2023 Ilhali Lissu alikutana na dhahma ya risasi 2017 Ukiwa muongo muongo jitahidi uwe na kumbukumbu
  8. tyc

    Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

    Hakuna sheria ya guest house inayomzuia mteja asiondoke mwenyewe hata kama aliingia na mwenza Pia huyu ni Poti, walivyo watemi watemi angepita pale getini bila kubughudhiwa na yeyote
  9. tyc

    Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

    Naweza kukubaliana na ww kwa muktadha wa mazingira ya hiko kifo
  10. tyc

    Askari polisi adaiwa kufia gesti akimtoroka mwanamke, Polisi Watoa tamko

    Najiuliza wamejuaje kwamba alikuwa anamtoroka mwanamke!?? Je huyu marehemu alimwambia mtu kuwa nipo na demu nakula show, ila nikimalizana nae nitamtoroka!?? Pia kwa maaskari wetu walivyo wababe sidhani kama angehitajika kuruka geti, pale ilikuwa anakwenda kumface mlinzi na kumuamuru amfungulie...
  11. tyc

    Gavana wa BoT dhidi ya Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, cheo kipi ni kikubwa?

    BOT ipo chini ya wizara ya fedha Hivyo kimamlaka katibu mkuu ni mkubwa kuliko Gavana Ila Gavana anamuacha mbali kimshahara na marupurupu katibu mkuu Ni kama vile ilivyo kwa mkurugenzi wa TPDC anavyokunja mpunga mrefu kuliko katibu mkuu nishati
  12. tyc

    MSG chamber Squad vs SKM Gang, A game of chance

    .. Kwamba wakijaribu kubinya, homeboi wako nae anabinya, serious!?? Naona umemuoverstimate sana jamaa, kumbuka jamaa hana jeshi wala influence yoyote chamani zaidi ya kuwa mtu mwenye kujua siri kuu za nchi na viongozi wake and as long as hayupo idarani tena basi hana cha kubinya tena na...
  13. tyc

    Kama mimi ningekuwa Christiano Ronaldo ningefanya kulinda heshima yangu

    W We bado hulijui soko la Cr7 lilivyo na nguvu, hapo kinachobadilika ni focus ya kibiashara huko Saudia,, waarabu wanapesa vibaya sana Preseason za Vilabu vingi vikubwa ulaya hupenda kwenda barani Asia ili kutanua wigo wa masoko yao Waarabu ndio kiini cha Man City kutawala Epl, na sasa...
  14. tyc

    Siwaelewi CCM: Magufuli alipopiga marufuku mikutano ya kisiasa walipongeza, sasa hivi Samia kairuhusu wanapongeza pia!

    Si tawala wala upinzani bali wanasiasa ndivyo walivyo Chadema enzi zile kiliutangazia umma kuwa Lowassa ni fisadi papa na mpaka kwenye website ya chama list ya mafisadi papa Lowassa alikuwemo, wanachama walishangalia na wakaunga mkono 2015 Lowassa ktk chaguzi za ndani akakatwa CCM na kuhamia...
Back
Top Bottom