hata DC anaongea direct na Rais japo juu yake kiutawala wapo RC, Waziri wa Tamisemi na PMGavana wa Benki kuu anaongea na Rais direct bila kupitia Wizara ya Fedha
Katibu mkuu yuko kikarani zaidi
Nyerere alijua sana kuisuka hii Nchi wallah
hata DC anaongea direct na Rais japo juu yake kiutawala wapo RC, Waziri wa Tamisemi na PMGavana wa Benki kuu anaongea na Rais direct bila kupitia Wizara ya Fedha
Katibu mkuu yuko kikarani zaidi
Mm binafsi naona aibu alfu linasema limesoma udsm 😎Dah aibu naona mimi,Gavana usimchukulie poa
Kwahyoni dhambi kubwa sana kuchochea mambo baya la kufarakanisha watu
Tutuba si Msukuma, ni Muha lakin hata kama angekuwa Msukuma si dhambi
Wasukuma wana hali kama waliyo mayo Wagogo acheni roho na tabia za kibaguzi
Mpango kasuka mipango ya ndugu yakeKwahyo
Mpango kasuka mipango ya ndugu yake
Ukitaka kujua angalia tu ukubwa wa mjengo kaangalie bank kuu ile migorofa na mpaka chini ya ardhi kule kuna mbonge wa korido kuelekea gogoni katibu mkuu hawezi kumzidi governor kwa majukumu na unyeti. Pili angalia ulinzi wa gavana mzee baba.
Funguo za bank kuu si anakua nazo gavana? Kumbe anakua nazo katibu mkui wizara ya fedha?
Ndugu, katibu mkuu wa wizara ya fedha ndiyo paymaster general wa nchi, mlipaji mkuu, mshika ufunguo wa kibubu cha taifa.
Unadhani JPM alimweka mpwa pale kwa bahati mbaya?
Kwenye utumishi katibu mkuu siku zote ni mkubwa, japo kiutendaji mkuu wa taasisi anaweza kuwa na majukumu nyeti na muhimu zaidi.
1. Mfano Katibu Mkuu wizara ya fedha (ambaye pia ni paymaster general) vs. Governor wa BoT
2. Katibu mkuu wizara ya ulinzi na JKT vs. CDF
3. Katibu mkuu wizara ya mambo ya ndani vs. IGP
N.K
Katibu mkuu ni mkubwa kwa mkuu wa taasisi yoyote. Na kuna mambo lazima yeye aidhinishe 😃. Heshima lazima iwepo.
BTW, zote ni nafasi za kumsaidia Mheshimiwa Rais, kwahiyo yeye ndiye anapanga nani anafaa wapi
ni dhambi kubwa sana kuchochea mambo baya la kufarakanisha watu
Tutuba si Msukuma, ni Muha lakin hata kama angekuwa Msukuma si dhambi
Wasukuma wana hali kama waliyo mayo Wagogo acheni roho na tabia za kibaguzi
Kibondo moja hiyo!Tutuba sio sukuma gang?Mbona jina kama la wasukuma?
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Ni kubwa Sana nilifanya Kaz na marehem beno ndulu nadhani kwa mwezi alikuwaa Ana kunja 40million kwa mwezi kwa kipindi hchoGovernor BOT ni nafasi kubwa saana..huwezi linganisha na ukatibu wa wizara,
Saini tu ndio kumlinganisha na gavanaUsimfananishe Katibu Mkuu Hazina/Fedha anayetambulika kama Pay Master General na vitu vya kijinga!
Bila saini yake huyo hakuna hela inatoka nchi hii
Kila nikiandika nafuta.Permanent Secretary wa Wizara na Gavana wa Benki Kuu ,cheo kipi Ni Kikubwa?