Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,638
- 697,929
Friends n foes! Retaliations or survival of the fittest?
What a coming back! Waswahel wanasema Mwenda tezi na omo? Marejeo ngamani! Hili ni jalamba kuelekea 2025. Misuli inapashwa! Timu zinachekechwa, Its a shake up! Vina vya maji vinapimwa.
Ni magazijuto tupu na michezo ya kuviziana. Nguvu hasi mbili zikitoshana nguvu zinazaa nguvu chanya moja! SKMG ni kama wameshapigwa mbili bila. Jemadari kamarade hayupo tena! Zimebaki story za kusisimua tuu.
MSG chamber squad haoo wanapepea. Mwema karudishwa Kilingeni, homeboy wangu kapigwa teke! Ila naye kakomaa hataki dharau na anajua yatokanayo maana mpaka jemadari analala yeye ndio alikuwa lindoni. Wakijaribu kubinya anabinya pia.
Kasema kwa kibri, "Am not the one for the 'safe house' huko wanapelekwa walugaluga waliookotezwa majalalani, Amateurs! Not for professionals with experience and a lot of sensitive cords n codes!"
Tupate mtori kwanza. Maana fukuto halijawa kali, lakini huko uvunguni kunatokota. SKMG anakaribia kuyaaga mashindano kama alivyoaga jana Yanga .
What a coming back! Waswahel wanasema Mwenda tezi na omo? Marejeo ngamani! Hili ni jalamba kuelekea 2025. Misuli inapashwa! Timu zinachekechwa, Its a shake up! Vina vya maji vinapimwa.
Ni magazijuto tupu na michezo ya kuviziana. Nguvu hasi mbili zikitoshana nguvu zinazaa nguvu chanya moja! SKMG ni kama wameshapigwa mbili bila. Jemadari kamarade hayupo tena! Zimebaki story za kusisimua tuu.
MSG chamber squad haoo wanapepea. Mwema karudishwa Kilingeni, homeboy wangu kapigwa teke! Ila naye kakomaa hataki dharau na anajua yatokanayo maana mpaka jemadari analala yeye ndio alikuwa lindoni. Wakijaribu kubinya anabinya pia.
Kasema kwa kibri, "Am not the one for the 'safe house' huko wanapelekwa walugaluga waliookotezwa majalalani, Amateurs! Not for professionals with experience and a lot of sensitive cords n codes!"
Tupate mtori kwanza. Maana fukuto halijawa kali, lakini huko uvunguni kunatokota. SKMG anakaribia kuyaaga mashindano kama alivyoaga jana Yanga .