Recent content by TX8

  1. TX8

    Hii ndio dawa ya Tundu Lissu

    Wazo zuri.
  2. TX8

    Kesi ya masheikh wa Uamsho vs Kesi ya Mauaji ya Lulu: Haki iko Mbinguni

    Hakika haki ipo mbinguni tu mkuu
  3. TX8

    Ushauri: Mpenzi wangu amebadilika

    pole mkuu pole sana sana yani binafsi nilishawahi kukutana na aina ya mwanamke wa namna hiyo tena alikuwa mwanachuo pia. nilichokuja kigundua wakati ule ni kuwa watoto wa chuoni wengi wao ni wachafu. kama unampenda basi anza kuzungumza na moyo wako ili uache kumpenda. usimuini bro kwa maneno...
  4. TX8

    Miaka 57 safari ya Tanzania na miaka 40 safari Israel kwenda Kanani

    Duuuh!! hakika tunarudi nyuma tu
  5. TX8

    Dhana ya mafanikio ya mwanaume nyuma ya mwanamke

    Wana jamvi, Kama kichwa cha habari kilivyo hapo juu, Je, ni kweli kwamba kila mwanaume mwenye mafanikio basi nyuma yake kuna mwanamke? Katika kipindi hiki cha kizazi cha • com kweli hilo linawezekana? Mahusiano hayaeleweki Ndoa hazieleweki Migogoro kila kukicha Visa vya mapenzi vinaibuka...
  6. TX8

    Vizazi vya uongozi ndani ya Afrika yetu

    Miaka ya 1960 nchi nyingi za kiafrika zilikuwa zimeanza kupata uhuru wake kutoka kwa wakoloni. Katika kipindi hiki cha uhuru hakika Dunia ilikuwa ikishuhudia kizazi cha kipya cha vijana walikuwa wamejitoa kupigania uhuru wa mataifa yao kama sio uhuru wa Afrika nzima. Vijana kama Ptrice...
  7. TX8

    Nahisi simfai mke wangu, natamani aanze harakati za kuniacha

    Hujachelewa bado, jaribu kubadili mienendo yako mkuu.
  8. TX8

    Kwanini vijana wengi toka Ethiopia wanakimbilia Afrika Kusini ili hali Ethiopia ina kila kitu?

    Malengo yao ni kuaminisha jamii ya kimataifa kuwa Ethiopia wapo vizuri kwa kila kitu. kuna vitu wanaficha.
  9. TX8

    Kwanini vijana wengi toka Ethiopia wanakimbilia Afrika Kusini ili hali Ethiopia ina kila kitu?

    Bila shaka kuna siri kubwa nyuma ya uchumi wa Taifa la Ethiopia mkuu
  10. TX8

    Kwa wapenzi wa action movies muigizaji R Lee Ermey amefariki dunia

    Full Metal Jacket. R.I.P Soldier.
  11. TX8

    Oparesheni Barakuda

    Ho Hotuba ya Patrice ilibeba ujasiri na ukweli usiopingika juu ya mateso ya wana Kongo na Afrika wa ujumla
  12. TX8

    Goba, Dar: Wakimbizi wa Ethiopia wakamatwa huku wakiwa na maiti ya mwenzao aliyekufa siku mbili zilizopita

    Bila shaka kuna siri kubwa nyuma ya uchumi wa Ethiopia. Maana sijui kwanini wanaondoka nchini mwao, wakati wanajinasibu kiwa na uchumi mzuri na mambo mengine meengi.
  13. TX8

    Naombeni ushauri wenu wakuu.

    Najua kuna Utaratibu mkuu bt nina nafasi ya kufanya hiyo kitu bila kizuizi chochote.
  14. TX8

    Bora tuachane, nasema sio ridhiki yangu

    Pole sana mkuu, lakini je,? Umeshampa onyo?
Back
Top Bottom