Naombeni ushauri wenu wakuu.

Naombeni ushauri wenu wakuu.

una hakika mimba ni yako blaza?? hao viumbe waangalie kwa umakini sana....
 
una hakika mimba ni yako blaza?? hao viumbe waangalie kwa umakini sana....

Mpango nilionao mkuu, nasubiri akijifungua baada ya muda nitapima DNA kwa siri na mtoto.

naamini hiyo ndio njia pekee itakayonifanya niwe na uhakikia kuhusu huyu mtoto.
 
Hakikisha mwanamke anakupenda ndo uoe ndoa ni tasisi nyingine kabisa ukiweka urembo kwenye ndoa utachambia mawe.

Huyo binti ushamharibia mipango yake hiyo laana utaishi nayo ukimuacha hivyo kama anakupenda mchukue huyo

Unaowapenda watakuacha kila baada ya muda anaekupenda atakuvumilia kila shida.

Mkuu Ahsante kwa ushauri wako.

Sasa nimeshaanza kupata mwanga kutokana na ushauri wenu humu JF.

Salute kwenu wakuu
 
Mpango nilionao mkuu, nasubiri akijifungua baada ya muda nitapima DNA kwa siri na mtoto.

naamini hiyo ndio njia pekee itakayonifanya niwe na uhakikia kuhusu huyu mtoto.
unafikiria kwenye DNA unaenda tuu kama kama sokoni....kuna taratibu.....anza kufuatilia ujue....
 
unafikiria kwenye DNA unaenda tuu kama kama sokoni....kuna taratibu.....anza kufuatilia ujue....

Najua kuna Utaratibu mkuu

bt nina nafasi ya kufanya hiyo kitu bila kizuizi chochote.
 
Kiufupi hata ujilazimishe kumpenda hali itakua ndo hiyo Hiyo. Kikubwa jitahidi kuwa baba bora kwa kiumbe kinachotarajia kuja ulimwenguni, mambo mengine huamuliwa na MUDA.
Nimependa hapo "mambo mengine huamuliwa na muda"
Kwangu hilo ni bonge la jibu tena tamu kinoma, akizingatia hilo jibu huenda baadaye akatamani hata kuifuta hiyo thread....!!!
 
Haina uthibitisho wa moja kwa moja kwamba wawili wanaopendana wakaishi pamoja kwa furaha na amani. Sasa sina uhakika kwa kiwango unachompenda yule wa kwanza ndicho sawa na kiwango anachokupenda wewe, huwa haitokei hiyo. Uchaguzi ni wako kumpenda anayekupenda kidogo au kwa kiwango si sawa na chako au kuishi na anayekupenda kwa kiwango kikubwa kuliko wewe.
Kwenye maisha jitahidi sana kusubiri muda katika kufanya maamuzi ya aina yoyote.
Pia unatakiwa kuishi kwa kanuni inayosema "everything is happening for a reason".
Mwisho, hakuna kanuni maalum ya kuanzisha familia hasa kwa nyakati tulizonazo....!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom