Haina uthibitisho wa moja kwa moja kwamba wawili wanaopendana wakaishi pamoja kwa furaha na amani. Sasa sina uhakika kwa kiwango unachompenda yule wa kwanza ndicho sawa na kiwango anachokupenda wewe, huwa haitokei hiyo. Uchaguzi ni wako kumpenda anayekupenda kidogo au kwa kiwango si sawa na chako au kuishi na anayekupenda kwa kiwango kikubwa kuliko wewe.
Kwenye maisha jitahidi sana kusubiri muda katika kufanya maamuzi ya aina yoyote.
Pia unatakiwa kuishi kwa kanuni inayosema "everything is happening for a reason".
Mwisho, hakuna kanuni maalum ya kuanzisha familia hasa kwa nyakati tulizonazo....!!!!