Recent content by twivamumu

  1. T

    Walioipigia kura CCM hasa za urais, vilio vya Watanzania ni juu yenu!

    Wakulaumiwa zaidi ni wale waliochagua wabunge wa ccm
  2. T

    Maoni yangu kuhusu 'Maoni ya Dr. Slaa' juu ya pesa za wahanga wa tetemeko Bukoba

    Serikali na kitengo chenu cha maafa hadi Leo hamjatuambia mmetoa sh ngapi ila pesa wanazo jitolea wasamalia wema mnazipangia matumizi
  3. T

    Taarifa ya Maafa ya Kagera kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu

    Na hivyo vyakula mmesha wapa? au bado mnawauzia kwa bei nafuuu?
  4. T

    Godlisten Malisa, Meya wa Ubungo, Jerry Muro, Majura Magafu na wengine maarufu wadaiwa sugu HESLB

    Toeni na majina ya wahanga wa kagera au wameshalipwa?
  5. T

    Mbona Wazungu hawamcheki Mke wa D.Trump?

    Ni utumwa mtambuka
  6. T

    Lowassa alikuwa wapi wakati wa kumuaga Marehemu Samwel Sitta?

    Lowassa si alishazikwana Mzee sita toka mwaka Jana?
  7. T

    Rais Magufuli aongoza kuaga mwili wa Marehemu Joseph Mungai

    Hivi mtu kumwagiwa sifa kibao kwenye msiba akiwa amefaliki ni sheria au desturi na mila?
  8. T

    Kero ya Kelele Kutoka Makanisa ya Kilokole

    Tanga maulidi zinasomwa daily halafu ni mida ya usiku karibu na makazi ya watu na spika zao ni kawa kelele tupu
  9. T

    DAR: Ghala linalomilikiwa na Saba Spare Parts lateketea kwa moto

    Fire huwa wanafika muda wa kuondoa mabaki tu
Back
Top Bottom