Recent content by Twinky

  1. T

    Kampuni ya Silent Ocean China hawapokei tena lose cargo, wanapokea makontena tu

    There are other small companies who does the same job Kama silent ocean, mm nimezitumia sana tu Na sijawahi kupoteza mzigo. Issue walikuwa wanasumbuliwa Na hivyo ku operate kawa shida. Mfanyabiashara akipeleka parcel kawa wengine basi kwakuwa silent walikuwa Na network kuwa TRA huyo agent...
  2. T

    Mwanafunzi wa Masters UDOM achomwa kisu

    Poleni Sana wafiwa. Mungu awabariki
  3. T

    Picha: Lowassa afanya kufuru Babati Mjini

    Usihofu ndugu The unstoppable president alisema wewe amka mapema kapige Kura mambo ya Nani atatangazwa mshindi Na tume tumwachie yeye
  4. T

    Hii imenitoa machozi sio siri

    This is so sad jamani. Sio kwamba wanaimba wanaraha au wanafurahia Hili in bomu siku litakuja kulipuka .. Mungu atusaidie
  5. T

    TANZIA: Mch. na Mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili, John Komanya hatunaye tena

    Rest In Peace Mchungaji Nyimbo zako zitaendelea kusikika masikioni Na mioyoni mwetu.
  6. T

    Pando la mlaaniwa (USA)

    Interesting!,,
  7. T

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Hakufanya alikuwa arts Kwa hiyo ni hiyo moja tu Na me uwezekano wa kuchaguliwa upo? Asante
  8. T

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Civ D Geo C Kisw C Geo C History C Eng B+ Bio C Atachaguliwa A level? Combination zipi? Shule Zenye elimu nzuri Na maadili Natanguliza shukrani
  9. T

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Msaada wapendwa, kwa matokeo haya A level anaweza chaguliwa kwa combinations zip Civ D His C Geo C Kiswahili C Eng B+ Bio C Math B
  10. T

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Msaada tafadhali, kwa matokeo haya Atapata A level combination zipi? Civ D Hist C Geo C Kisw C Eng B+ Bio C Math B
  11. T

    Charlie Hebdo: Makanisa yachomwa moto Niger

    Mi sijui kifaransa kwani inamaanisha nn
Back
Top Bottom